Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

article-1342322-0C993098000005DC-81_468x221.jpg




Chinachubiri manager wa saba .... ..... 7th governor where is he?


Cech-splash_1217004a.jpg



DOWN AND OUT ... Petr Cech says Chelsea have no hope

of retaining title on current form


Karibuni karibuni kwenye EPL khe khe kheeeeeeeeeeeee


Wacha Wacha,Wacha wa one wenyewe.

Ama kweli ngoma ya watoto haikeshi,na ikikesha ngoma hupasuka (The Gunners ended up drew 2-2 with 10-man Wigan at the DW Stadium ).

Mashetani (Mapepo) wanagonga mvinyo tu.Lakini wamenuna baada ya kuona daraja likianza kujengwa upya jana.

EPL is a very competitive league. Can you imagine "Wolves stunned Liverpool 1-0 at Anfield?"
 
chelsea-splash_1217785a.jpg


article-1342401-0C974CC6000005DC-352_634x398.jpg

Vikongwe wa Chelsick - the Mafioso.




article-1342401-0C971ED9000005DC-658_634x432.jpg


Amanalo chijui amenola watajijuu menyewe khe khe khe kheeeeeeeee



article-1342401-0C973F78000005DC-115_634x314.jpg


Take that .... ..... Theooooo huyooooooooooo


Duh,

Hahaha lisemwalo lipo... na kama halipooooooo ujue linakuja yakhe! Niliwambieni tu. Kwa woga kabisa ........... akaamua kukimbia hii forum. Alijua kaanzisha thread yenye kumbana. Mnashabikia timu legelege zinawaumiza roho sana.

Wewe ....., Wacha kujiumiza babake, njoo mwana. Gunners si uliuona mziki wetu? Yani mida ile ile nikamkumbuka swahiba wangu ..... nadhani aliko yuko hoi kwa u-goigoi wenu Mafioso nyie.



Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Heri ya Mwaka mpya to the all true blues fans Peasant, AbT, RevK, Invi etc.
 
Nasikia Chelsick the mafioso team wakishinda leo watakuwa wanagombea nafasi ya nne, Je, hii ni kweli? Mchungaji Kishoka upo? Ooops na akina nani wale siku hizi wamekuwa adimu sana hadi utoe mpunga ndio utawaona ... .... .. khe khe kheeeeeeeeeeee
 
Heri ya Mwaka mpya to the all true blues fans Peasant, AbT, RevK, Invi etc.

Pole kaka nasikia bado wako kwenye Matanga nafasi ya nne chio nchezo! Khe khe khe khe eeee
 
Kuna Red card nadhani kwa hawa AV, wanajitahidi kuzuia Chelsea wasicheze game lao

FH Chelsea 1 AV 1
 
Mbu aligusia hii kitu; there something fishy going on in Stamford Brigde.
 
Hii inanikumbusha wimbo wa Daz Nundaz unaitwa "MAJI YA SHINGO" Ngoja niwakumbushe kiitikio chake " Maji ya shingo yamenifika mwana mkiwa, sisikii siambiwi la kutamkiwa, Jela ni kitu gani ntakwenda ntaachiwa, kama vikesi vingi mi nishasingiziwa, mbele kiza kimetanda sioni njia........" naona sasa Chelsea mbele kiza Kimetanda na haoni njia.....hapa wanachezea kichapo koz hata draw mbao haitoshi.......Anyway mi nawatakia kila la Kheri.....ila so far 2-1 ndo score board inavyosomeka.................
 
Poleni wakuu labda mtaambulia hata kapoint kamoja. Dakika ndiyo zinazidi kuyoyoma. Matokeo yakibaki hivi si ajabu kibarua cha mtu kikaota majani kabla ya wiki kwisha.
 
Jamani huyu kocha msaidizi (mnigeria) Simuoni akishirikiana na kocha mkuu,na hakai jirani na kocha mkuu kusaidiana. Je ni kwa nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom