Yule msamehe bure, mapenz na timu ake ya zaman plus uzee vnachangia mpk anaongea pumba kama izoonilishangaa oweni anasema chelsea hawezi kuwa bingwa sijui alichambua kwa kutumia akili au upenzi anawapa liver nafasi au man u
Yule msamehe bure, mapenz na timu ake ya zaman plus uzee vnachangia mpk anaongea pumba kama izoo

Endelea kujifariji tuu, sie twaendele a kutoa dozi tuuNarudia tena, Chelsea hachukui ubingwa msimu huu. Sio kila anayeongoza ligi by Xmas lazima awe bingwa. Siwalazimishi mkubali ila mwezi Wa tano mwakani nitawafukulia hii post No. 35392
Munich hiyo, ndani ya Arieza allena![]()
Kama wewe kweli ni mshabiki wa chelsea fc hii ilikuwa ni event gani?
January hii au mwisho wa msimu lazima asepeBasi angekua ni mbaya angemuuza lkn kwanini hamuuzi?????
Chelsea wanapaki basi.....?Yuko sahihi kabisa na si km amekata tamaa chelsea wanapaki bus na kujilinda sn kuliko timu zote hapo England.
Good pointKuna mazingira mengi unaweza kuongelea kutokana na hiyo kauli ya Mourinyo.
Mimi nitaongelea mazingira mawili hivi.
Kwanza amesema ukweli hasa ukizingatia nidhamu ya uchezaji wa hiyo safu ya ulinzi na mids zake hazifanyi makosa ya kijinga kijinga. Wachezaji wakiwa uwanjani wanadamu Ktk hiyo hiyo nidhamu kwa dk zote 90.
Kitu kingine Mourinyo ni Mzee wa minds game sasa anajaribu kuwavuruga Ktk hiyo njia maana ameanza kumsifia sn Luiz Ktk hilo kwamba anaiongoza hiyo safu ya ulinzi na kuifanya kua ngumu.
Sizani km anachukia kwasababu yeye mwenyewe Mourinyo ni mlevi wa mfumo wa kulinda sn....
Kauli yake imelenga kubeza mafanikio baada ya kutoka yeye
Na Conte sio mtu wa vyombo vya habari bila shaka hatasikiliza hizi lawama, kwavile hata baadhi ya Timu zilipocheza na Chelsea ziliiga mfumo lakini hawakuweza kupata matokeo,waliishia kugongwa tu
Mkuu MD ya spurz ya akina "mousa dembele+victor wanyama+delle alli" unataka umchezeshe obi????????? Na hapo hapo unataka ubingwa.

Usikufuru neema ya Mwenyezi Mungu unapopata neema ya Mwenyezi Mungu bali Mshukuru na omba akujaalie zaidi na zaidi!!Kila siku ushindi,hadi nmechoka kushangilia.

![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Walioiga hao wakina Man City na Sunderland...