Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Angekua mzuri, conte angemtumia. Jiulize kwanini hajapangwa hata match moja under conte reign???? Conte hataki hata atokee sub. Badala yake ana opt kwa kina loftus cheek, ola aina and chalobah.

Ana ka beef na Kocha, lakini Mikel ni bonge la mchezaji
 
Hivi Pedro anaweza kucheza kama top striker kweli?....

any way ngoja tuone kwa sababu yeye ndo yupo nao mazoezini anawajua vzr , but I thought kwamba hii ndo ilikua game ya Batshuayi kuonesha kiwango
 
Hukuona game na mancity, jinsi akina willian+hazard+costa walivopiga zile counter na zote zikazaa magoli???? Utaweza piga counter kama huna kasi??? Utapiga counter attack ukiwa na kiungo obi anayerudisha mpira kwa kipa anytime.
Counter attack zote ni za kawaida sn sio km zilisababishwa na kasi. Mfumo wa kua na wachezaji watu mbele unaruhusu ufanye Counter
 
Hivi Pedro anaweza kucheza kama top striker kweli?....

any way ngoja tuone kwa sababu yeye ndo yupo nao mazoezini anawajua vzr , but I thought kwamba hii ndo ilikua game ya Batshuayi kuonesha kiwango
Conte anapenda watu wenye uwezo wa drive mipira
 
4476.jpg

Pedro, left, lets fly and Chelsea have the lead.
 
Siioni ile kasi mnayoisema maana mpk sasa Bournmounth wanaongoza kwa Ball possession kwa asiimia 55 kwa 45. Mashuti wote wako na matano kwa matano na kona ni 3 kwa 3 hii sio nzuri kabisa hasa ukinzingatia tunacheza na Bournmounth alafu ni darajani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom