Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

leo nimecheka kitu kimoja kwamba Diego Costa anapenda kucheza na mabeki kama PEPE na RAMOS kumbe jamaa yeye anapenda mpira wa vurugu maana pepe anaweza kukupiga kibao na costa akarudisha teke duuu huyu jamaa ni noma
 
Naandika sana hapa mbona?
Nyie mmetangulia kwa baiskeli ya miti
MAJOGOO ndiyo mabingwa mwaka huu
hata Ntuzu na Mentor na kalou wanajua
Huwa napenda watu wenye confidence kama wewe. Ambaye ata ukifungwa bado unajipa hope. Any i cant judge your opinion lets wait and see which team will win Epl title.....!!!! But husichanganye mada yaani umri na trophy.
 
372a742588248066d2afd9f534fcb66e.jpg
 
tuko kwenye kiwango chetu huu msimu ni wetu kwa kila tunapo ongoza ligi mpaka xmass uwa tunachukua sisi sio watu wa masihala tukishika usikani

Narudia tena, Chelsea hachukui ubingwa msimu huu. Sio kila anayeongoza ligi by Xmas lazima awe bingwa. Siwalazimishi mkubali ila mwezi Wa tano mwakani nitawafukulia hii post No. 35392
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom