Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Inashangaza sana kuona kuwa mabeki 3 nyuma halafu unatuhumu timu kujilinda?
Majukumu ya kujilinda hayatekelezwi na hao mabeki watatu tu. Timu inalindwa na mabeki 5 na viungo 2 muda wote na wakati mwingine mpk viungo washambuliaji wanarudi kulinda yani unakuta timu iko na mabeki watano viungo wanne yani 9. Ni Costa tu ndio anabaki huko mbele kwa muktadha huo timu haijilindi?

Chelsea ya sasa iko more defensive sn kuliko ata ile ya Mourinyo.
 
Mkuu nilichouliza ni kingine na wewe umejibu kitu kingine kabisa sijui hukuelewa swali langu? Nafikiri hii mada ni ngumu tuiache mkuu
Mkuu umeuliza barca inacheza mpira wa kasi na kumiliki kuliko barca?????? Sasa hapo nimeenda wapi OP?????? CHelsea ya conte inacheza kasi sana mkuu, hivyo average player kama obi hawawezi endana nayo.
 
Ntuzu

Hapa ni ngumu kukubaliana nawe mkuu huwezi kunambia chelsea wanapaki bus wakati wana goal more than 16 kwa mechi 5 tu,je wao wanaoshambulia wana goal ngapi walizofunga na kufungwa? anashindwa tu kusema chelsea wana beki imara isiyofungika kirahisi
Angalia pia ni Goli ngapi walizofungwa hapo ndio utajua km bus linapakiwa
 
Kilichobaki sasa hivi ni ushabiki na mahaba ya wachezaji tumekosa sababu za kulaumu kabisa,naomba nikuulize mkuu unataka obi acheze badala ya nani pale? matic au kante ? maana kama tuna wachezaji wazuri tu lakini wanakaa benchi sasa je kocha anapanga kikosi chake kinachotupa sababu za kutamba mitaani lakini sisi tunataka fulani acheze badala ya fulani ili hali kocha kaona siyo sahihi na yupo nao mazoezini kila siku,obi anataka acheze kocha kocha nae anaona obi hafiti kwenye mfumo wake,so hakuna jinsi ni kumuuza tu
Hakuna sehemu km nimedai kua Obi apangwe ila ninatetea dhana ya kua Obi kaisha wakati sioni km hilo ni sahihi


Kuna baadhi ya game unaweza kuhitaji huduma ya Obi kwa mfano km game yetu ijayo na Spurs hapo mimi ningependa huduma ya Obi kumudu nguvu ya Spurs. Ata game yetu na lfc nayo pia tunahitaji hiyo huduma.


So ningependa Kante na Obi waanze
 
Picking the Best Potential Chelsea Lineup to Face Bournemouth on Boxing Day
a119473f9777fe4f709da4c6d496ab7f.jpg
 
Mkuu MD ya spurz ya akina "mousa dembele+victor wanyama+delle alli" unataka umchezeshe obi????????? Na hapo hapo unataka ubingwa.
 
Mkuu MD ya spurz ya akina "mousa dembele+victor wanyama+delle alli" unataka umchezeshe obi????????? Na hapo hapo unataka ubingwa.
Hukuona siku Ile walivokuja darajani walivotuzidia na Obi hakuwepo???

Ata tulivoenda kwa Man City?? Lazima tuwe na watu wa nguvu hapo kati
 
Mkuu umeuliza barca inacheza mpira wa kasi na kumiliki kuliko barca?????? Sasa hapo nimeenda wapi OP?????? CHelsea ya conte inacheza kasi sana mkuu, hivyo average player kama obi hawawezi endana nayo.
Sio kweli mkuu. Chelsea haichezi kwa kasi Ktk big game tulizocheza unaweza kuliona hilo.
 
Hukuona siku Ile walivokuja darajani walivotuzidia na Obi hakuwepo???

Ata tulivoenda kwa Man City?? Lazima tuwe na watu wa nguvu hapo kati
Haaa haaa bro, obi angecheza tungepigwa mkono, believe me. Obi hana kitu ndo maana "conte"-taylor anataka tu amuuze china au maseile kama sio league za wazee/vijeba SERIE A.
 
Hukuona game na mancity, jinsi akina willian+hazard+costa walivopiga zile counter na zote zikazaa magoli???? Utaweza piga counter kama huna kasi??? Utapiga counter attack ukiwa na kiungo obi anayerudisha mpira kwa kipa anytime.
 
Ila nahisi huyu ntuzu sio yule ninaesomaga comments zake,au hang over ya jana bado ipo kichwani
 
Chelsea team today: Courtois; Azpilicueta, David Luiz, Cahill (c); Moses, Fabregas, Matic, Alonso; Willian, Hazard, Pedro.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom