Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

......Bao la mkhitaryan tamu lakini offside....bao la Giroud kali lakini ushindi wa Arsenal ni mgumu kama uchaguzi wa Zanzibar....Chelsea ushindi siku hizi kama kupiga mswaki, imekuwa kawaida.....
Hayo ya Eddo mwachie mwenyewe
 
Naomba mniambie Chelsea anatumia mfumo gani, maana anavyoshambulia nyuma anabaki beki mmoja tu anavyoshambuliwa mbele anabaki forward mmoja tu.

Huu mfumo unaitwaje.?
mimi ninavyojua anaposhambulia beki wanabaki watatu ambao ni luis,azplicueta, na cahill hilo lakubaki mmoja ndiyo nalisikia kwako,
ndugu idawa vipi tuko pamoja kwenye jukwaa hili au umekuja kutusalimia maana mara nyingi ninakucheki kwenye jukwaa la bwana yule
 
mimi ninavyojua anaposhambulia beki wanabaki watatu ambao ni luis,azplicueta, na cahill hilo lakubaki mmoja ndiyo nalisikia kwako,
ndugu idawa vipi tuko pamoja kwenye jukwaa hili au umekuja kutusalimia maana mara nyingi ninakucheki kwenye jukwaa la bwana yule
Mara nyingi hubaki D. Luiz ama Cahill nyuma
 
Ukishinda game 12 mfululizo hauna unavyoweza kucomment bila kujisifu..
KTBFFH
yaani wakati mwingine unaweza ukadharau hizi timu ni wajinga kwamba wanashindwaje kuifunga chelsea mpaka timu inashinda straight mara 12 lakini nilichokiona hawa makocha wa timu pinzani na hasa hizi timu kubwa wanakosea wanapokutana na chelsea.
Mara nyingi wanapokutana na chelsea wanakuja na hasira za kwamba lazima wamfunge chelsea kwa namna yoyote hivyo wanafunguka wasijue kwamba ukifunguka kwa chelsea umekwisha
 
Naomba mniambie Chelsea anatumia mfumo gani, maana anavyoshambulia nyuma anabaki beki mmoja tu anavyoshambuliwa mbele anabaki forward mmoja tu.

Huu mfumo unaitwaje.?

Kaka Chelsea wanacheza mfumo wa 3-4-3, huo mchezo unabadirika kulingana na mazingira, kama tunashambuliwa kwa shabulizi la kawaida na la mpito, basi mfumo unakuwa 4-3-3, beki zinakuwa nne, Alonso Kushoto, kati Luis na Cahil na kulia ni Azip, na katikati kunakuwa na Matic, Kante na Victor moses na mbele kunakuwa na Willian, Hazard na Costa

Tukiwa tunashambuliwa kwa muda mrefu na timu inazidiwa basi mfumo unabadirika na kiwa 5-4-1, nyuma kunakuwa na beki tano, Luis, Azip, Cahil, Alonso na Victor moses, katikati tunakuwa na Matic, Hazard, Kante na Willian na mbele anabaki Costa kusubiri counter attack.

Tukiwa tunashambulia kwa kujihami, yaani mechi iko 50:50, mfumo unakuwa 3-4-3, na tukiwa tunatawala mechi basi mfumo unageuka na kuwa 2-3-5 yaani hapo lazima ufungwe, nyumba anabaki Azip na Cahil, kati anasogea Luis, Matic na Konte mbele kunakuwa na Victor, William, Hazard, Costa na Alonso

Huo ni mfumo mzuri sana, sema unahitaji wachezaji wepesi, inahitaji wachezaji wenye uwezo wa kuhold Mipira na wachezaji wenye skill zakufunga
 
Kaka Chelsea wanacheza mfumo wa 3-4-3, huo mchezo unabadirika kulingana na mazingira, kama tunashambuliwa kwa shabulizi la kawaida na la mpito, basi mfumo unakuwa 4-3-3, beki zinakuwa nne, Alonso Kushoto, kati Luis na Cahil na kulia ni Azip, na katikati kunakuwa na Matic, Kante na Victor moses na mbele kunakuwa na Willian, Hazard na Costa

Tukiwa tunashambuliwa kwa muda mrefu na timu inazidiwa basi mfumo unabadirika na kiwa 5-4-1, nyuma kunakuwa na beki tano, Luis, Azip, Cahil, Alonso na Victor moses, katikati tunakuwa na Matic, Hazard, Kante na Willian na mbele anabaki Costa kusubiri counter attack.

Tukiwa tunashambulia kwa kujihami, yaani mechi iko 50:50, mfumo unakuwa 3-4-3, na tukiwa tunatawala mechi basi mfumo unageuka na kuwa 2-3-5 yaani hapo lazima ufungwe, nyumba anabaki Azip na Cahil, kati anasogea Luis, Matic na Konte mbele kunakuwa na Victor, William, Hazard, Costa na Alonso

Huo ni mfumo mzuri sana, sema unahitaji wachezaji wepesi, inahitaji wachezaji wenye uwezo wa kuhold Mipira na wachezaji wenye skill zakufunga
Uko sahihi sana mkuu

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Naomba mniambie Chelsea anatumia mfumo gani, maana anavyoshambulia nyuma anabaki beki mmoja tu anavyoshambuliwa mbele anabaki forward mmoja tu.

Huu mfumo unaitwaje.?
mfumo ni 3-4-3 lakin tukiwa tunashambulia wing back wawili mfano moses na alonso wanapanda kufanya idadi ya watu 5 kule mbele hivyo kubaki wawili hapa nyuma yaani cahil na luiz, lakin cahil atapanda kweny kiungo ili kuongeza idadi ya viungo na kuwa 5 hivyo nyuma atabaki beki 1 luiz..tunashambuliwa wing backs wote watarud kufanya jumla ya beki kuwa 4 yaani alonso, moses, cahil na luiz, lakin kiungo mkabaji mfano cante atarudi deep zaid kumsaidia central defender mmoja hasa cahil ambaye ataenda pembeni kidogo hasa upande wa alonso, then playermaker mfano matic au fabregas atarudi deep kiasi kwenye nafasi iliyoachwa na defensive midfilder yaani cante. Kwa mahesabu hayo utaona tunakuwa na beki beki 4, viungo wakabaji 2 n viungo wengine 3 na striker mmoja tunashambuliwa. Ni mfumo mgumu kuuzuia ingawa unawezekana, sema pia ni deadly ktk counter attack. KTBFFH
 
Kaka Chelsea wanacheza mfumo wa 3-4-3, huo mchezo unabadirika kulingana na mazingira, kama tunashambuliwa kwa shabulizi la kawaida na la mpito, basi mfumo unakuwa 4-3-3, beki zinakuwa nne, Alonso Kushoto, kati Luis na Cahil na kulia ni Azip, na katikati kunakuwa na Matic, Kante na Victor moses na mbele kunakuwa na Willian, Hazard na Costa

Tukiwa tunashambuliwa kwa muda mrefu na timu inazidiwa basi mfumo unabadirika na kiwa 5-4-1, nyuma kunakuwa na beki tano, Luis, Azip, Cahil, Alonso na Victor moses, katikati tunakuwa na Matic, Hazard, Kante na Willian na mbele anabaki Costa kusubiri counter attack.

Tukiwa tunashambulia kwa kujihami, yaani mechi iko 50:50, mfumo unakuwa 3-4-3, na tukiwa tunatawala mechi basi mfumo unageuka na kuwa 2-3-5 yaani hapo lazima ufungwe, nyumba anabaki Azip na Cahil, kati anasogea Luis, Matic na Konte mbele kunakuwa na Victor, William, Hazard, Costa na Alonso

Huo ni mfumo mzuri sana, sema unahitaji wachezaji wepesi, inahitaji wachezaji wenye uwezo wa kuhold Mipira na wachezaji wenye skill zakufunga
Huu mfumo ndio wenyewe kwa kupaki bus.

Mfano timu ikizidiwa nyuma wanakua 5 then viungo 4 na mbele anabaki Costa tu. Hili ni bonge la bus.

Nilisema jana hapa kua chelsea ina paki bus wadau wakanibishia lkn km ukiangalia kwa undani zaidi huu mfumo uko ki defensive sn then kinafata kuattack.

Mkuu uko sahihi kabisa huu mfumo unabadilika badilika sn kulingana na nguvu ya adui jinsi ilivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom