Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi ile Arsenal walivyochabangwa 3 kwa mtungi, Wenger alisema ati hakuona kitu alichofanya Drogba.

Probably leo anaona vitu vinavyofanyika!
Wenger anamwogopa sana Drogba ndio maana anajaribu kumponda kiaina kumpunguza confidence, lakini wapi jamaa ndio kwanza nawashikisha adabu!
 
drog_682x400_982243a.jpg



didierdrogbacelebrate_2416992.jpg
 
Chelsea-v-Arsenal-John-Terry-claps-fans_2416865.jpg


John Terry was back in action after a turbulent week...


Chelsea-v-Arsenal-John-Terry-fan-support_2416866.jpg


...and Chelsea fans showed their support for their captain.


Chelsea-v-Arsenal-John-Terry-roaring-after-Dr_2416918.jpg


John Terry roars with delight during Chelsea's clash with Arsenal at Stamford Bridge
 
Chelsea-v-Arsenal-Michael-Ballack-Cesc-Fabreg_2416868.jpg


Michael Ballack and Cesc Fabregas battled for the ball early on...


Chelsea-v-Arsenal-Didier-Drogba-goal_2416869.jpg


...before Didier Drogba fired Chelsea into an early lead.


Chelsea-v-Arsenal-Didier-Drogba-celeb_2416870.jpg


Drogba celebrates after opening the scoring...


Chelsea-v-Arsenal-Didier-Drogba-celeb-first_2416898.jpg


...before showing his commitment to the Chelsea fans.


Chelsea-v-Arsenal-Didier-Drogba-second-goal_2416900.jpg


Drogba drills home to double Chelsea's lead at the Bridge.

Chelsea-v-Arsenal-Didier-Drogba-celeb-second_2416901.jpg
 
Hii kulialia ni ya nini tena jamani???

Chelsea-v-Arsenal-John-Terry-Cesc-Fabregas_2416902.jpg

Terry helps Cesc Fabregas back to his feet

Chelsea-v-Arsenal-Arsenal-flare_2416915.jpg

...and smacks the ball clear with a flare lighting up the Arsenal end.
 
Le Capitaine!!!


Chelsea-v-Arsenal-John-Terry-pain_2416937.jpg


Terry winces after being on the receiving end of a kick from team-mate Petr Cech.

Chelsea-v-Arsenal-John-Terry-kisses-shirt-off_2416978.jpg


Terry kisses his shirt after the game...

Chelsea-v-Arsenal-John-Terry-throws-shirt-off_2416979.jpg


...before throwing it to the Chelsea fans.
 
Leo darajani patamu mno jamani.Tungefungwa hata sijui kama hapa
jamvini pangekalika.

Go Ze Bluzzz!!!
 
Hey Buddies!

Hats off, Congratulations. Drogba is simply 'the best African Import' kwenye EPL!.
I dont know mwelekeo wetu -'Arsenal' -baada ya hapa, lakini it seems it's a two horse race now, Manure na nyie...

Goodluck!

 
Hey Buddies!

Hats off, Congratulations. Drogba is simply 'the best African Import' kwenye EPL!.
I dont know mwelekeo wetu -'Arsenal' -baada ya hapa, lakini it seems it's a two horse race now, Manure na nyie...

Goodluck!

Thanx for the positive comments bro.
Mpira bado upo!!!
 
Hongereni wadau hapa.....! Invisible, Mvina, AB -Mwalimu, Peasant, Masa boy et al! Your boys deserved the win.......!ngoja ss tuuguze vidonda kwanza.....!
 
Hey Buddies!

Hats off, Congratulations. Drogba is simply 'the best African Import' kwenye EPL!.
I dont know mwelekeo wetu -'Arsenal' -baada ya hapa, lakini it seems it's a two horse race now, Manure na nyie...

Goodluck!

Sikupata nafasi kuona mpira jana,ila nimeona highlights asb hii kweli Drogba anatisha.
 
Tatizo la Arsenal ni kwamba hatuna washambuliaji wa aina ya Wayne Rooney na Didier Drogba.hivi vitoto tulivyonavyo vinarukaruka tu pale mbele(Arshavin na Walcott hakuna lolote wanalofanya angalau Nasri kwa mbaaaaaaaaaali kajitahidi hii 1st half)

Mabeki Vermaelan na Clichy wamekuwa tatizo tangu mechi na Man Utd,wamelegea sana tofauti na Sagna na Gallas,wanatakiwa kubadilika

Kwa upande wa kiungo wamecheza vizuri sana hawa Song,Diaby na Fabregas,wamejitahidi sana na wanajaribu kupeleka mipira mbele lakini ndo hivyo hatuna washambuliaji tulionao wanacheza sana ule mpira wa 'anao anao' nadhani lengo lao ni kumpiga kwanza chenga kipa ndo wafunge magoli(nammiss sana Robin Van Persie),nadhani Wenger atajifunza hapa na ubahili wake,anatakiwa asajili washambuliaji wazuri na wenye nguvu(kama Rooney na Drogba)

Kipa ndo bure kabisa,hawezi kabisa kuji'position' pale langoni kafungwa magoli ya kijinga(hata kama ni uzembe wa mabeki),hajui kukaa vizuri golini...Sijui kwa nini AW anambania dogo Vito Manone

Ni bora AW amtoe Walcott amuingize 'kumbakumba' Bendtner yeye anaweza kufunga maana hajui chenga wala nini so hujaribu kufunga hata kwa mbali

Otherwise Arsenal tutegemee kufungwa magoli mengine kipindi hiki cha pili kama tutaendela kucheza mpira huu wa kibishoo

Hongereni sana Chelsea,mmepata nafasi mmezitumia ipasavyo na wala hamtaki marangirangi wala nini
Mkubwa naona unazunguka sana tatizo ni Arsenal Wenger
 
I dont know mwelekeo wetu -'Arsenal' -baada ya hapa, lakini it seems it's a two horse race now, Manure na nyie...

Mbu,

Usife moyo mkuu, bado mna matumaini kidoooogo! - gap la 9 points sio kubwa sana

BUT - kama Liverpool watawakaanga (most likely) na sisi tukawachapa Everton (most likely) na Man U wakaendeleza moto wao kwa Aston Villa (most likely), THEN Arsenal will be out of it!
 
Mbu,

Usife moyo mkuu, bado mna matumaini kidoooogo! - gap la 9 points sio kubwa sana

BUT - kama Liverpool watawakaanga (most likely) na sisi tukawachapa Everton (most likely) na Man U wakaendeleza moto wao kwa Aston Villa (most likely), THEN Arsenal will be out of it!

God! i like your confidence but,....
Most likely,you will never pull out this
 
Drogba nimekubali ni bonge la striker, it was so close to the hat trick!
 
nilijua tutashinda, ingawa kipindi cha pili hadi dk 80 arsenal walipiga mpira vibaya sana - they had no change hasa kwa cech ambaye kweli aliokoa kama michomo 3 ya wazi. it was special perfomance hasa kwa JT - Ambaye amekuwa gumzo huko na dunia nzima kwa kutembea na kimwana vannesa - Timu nzima ilikuwa imeamua kumfariji.

Pamoja na kupoteza Uongozi wa timu ya taifa ya Uingereza, Mr Chelsea hakuteteleka kuwaongoza vijana wa darajani jamaa alikuwa nguzo ya defence - kwa wale mnaomjua fab's jana alipotezwa -

Drogba he is in another class - goli la pili ndo limenipa raha saaana - hebu pata hints

a) Ni break toka golini kwetu -- lapard anaupata mpira anakimbia nao - mabeki wa arsenal wapo 3 wanagawanyika kukaba.
b) Anelka, Malouda na Drogba wote wanakimbia mbele, Drogba kulia, Anelka katikati na Malouda kushoto.

b) Drogba anakimbilia kulia zaidi kwa uwanja - anaiombaaa - Lapard bila hiana anatoa pande kali analikamata mzee mzima Didieee
c) Anapiga hatua tatu mbele - mabeki 2 wanamfuata wakijua lazima apige cross langoni wanajitahidi ku - block hiyo cross endapo atapiga
d) Mwanaume anabinya - (kama analia) wanapitilizaaa haoooo
e) anageuka kitendo bila kuchelewa - defender wa tatu kafika anapigwa chenga - na kufumua shuti kali la mguu wa kushoto - No chance for goalkiper - goli la pili.

Acha alilowakosa kwa free kiki mita 25 mzee - ikagonga mwamba
This guy is a world class striker - tukatae tukubali.

Who is Next ????


http://www.chelseafc.com/page/LatestNews/0,,10268~1958812,00.html
 
Zzzzzz Bluezzzzzz!!!!, hongereni jana kwa kuwapiga vibonde Arsenals, as i said b4, mda wa ngoma ya watu wazima umefika, ni sisi na nyie, ila nasikitika kuwaambia kuwa, kama ilivyokuwa msimu jana, msimu huu pia mtakuwa wasindikizaji tu.
Who want to bet with me?
 
Zzzzzz Bluezzzzzz!!!!, hongereni jana kwa kuwapiga vibonde Arsenals, as i said b4, mda wa ngoma ya watu wazima umefika, ni sisi na nyie, ila nasikitika kuwaambia kuwa, kama ilivyokuwa msimu jana, msimu huu pia mtakuwa wasindikizaji tu.
Who want to bet with me?

Kaka hapo umeongea point - watoto walale - saa hizi time mbaya tubaki sisi wazee -

Mafahali wawili - ha ha ha ha - mwaka huu tunaipeleka hadi kwenye wayaa.

Asenali, liva wasubiri mwakani -

Ila kaka Kumbuka UEFA mtoano unanukia - isije ikawa Tia maji Tia maji----
 
Kaka hapo umeongea point - watoto walale - saa hizi time mbaya tubaki sisi wazee -

Mafahali wawili - ha ha ha ha - mwaka huu tunaipeleka hadi kwenye wayaa.

Asenali, liva wasubiri mwakani -

Ila kaka Kumbuka UEFA mtoano unanukia - isije ikawa Tia maji Tia maji----

Amna presha kaka wala kisukari, just mark my words; Chelsea na Man Utd kufika nusu fainali ya CL mwaka huu, bila shaka tutanyakua ubingwa mwaka huu wa CL. Wala wapaka upepo wa Hispania wasikupe presha. Ila Barca nataman wakutane na Chelsea aiseeeee😕😡🙄Lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom