Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
wakooo wapi hawa? haoooooooooooooooooooo popote mlipo na kelele zenu.kiko wapi sasa? endeleeni kushangilia kombelenu mafichoni huko.
wakooo wapi hawa? haoooooooooooooooooooo popote mlipo na kelele zenu.kiko wapi sasa? endeleeni kushangilia kombelenu mafichoni huko.
Game Over Everton 2 Chelsea 1,poleni sana..Niliwaambia juzi mimi ligi ngumu hii,haitabiriki mkaongea,yako wapi?.Bado Liver,Man Utd na Tottenham wanawasubiri....Na bado
Kumbe mpo?! Sijawaona Jumapili nikafikiri mmeji-Omondi....anyway hongereni kwa ushindi dhidi ya Litterpool angalau mnajihakikishia nafasi ya tatu.Wacha1, weka picha bana! 😀😀😀
Kumbe mpo?! Sijawaona Jumapili nikafikiri mmeji-Omondi....anyway hongereni kwa ushindi dhidi ya Litterpool anagalau mnajihakikishia nafasi ya tatu.
Kumbe mpo?! Sijawaona Jumapili nikafikiri mmeji-Omondi....anyway hongereni kwa ushindi dhidi ya Litterpool anagalau mnajihakikishia nafasi ya tatu.
Tabu ya Zzz Gonaz wakishinda wanaona kuwa mwaka huu adi treble yao, wakifungwa, ona wanavyopondana na kumsiliba Wenger utadhani sio hawa hawa, kudadadeki, kueni na msimamo nyie, msiwe kama ocean tides.
Tehetehe, Ab Tchaz!, Lol...mjomba, salaamu umezipata?, Lol..!, pole mgosiii!
Jumapili tulikuwepo na nikawambia hapa kwamba mna gemu ngumu zimebaki...Sema wewe leo ndo ulipotea but umekuwa shujaa kwa kuibuka japo dakika ya mwisho...Masanilo na Invisible wamezimia bin kupoteza fahamu...lol
Hizo mechi kubwa hazitupi shida, ndio game zetu hizo kwa taarifa yako, nafikiri nyie wenyewe Arse mnajua hili. Tutafungwa na timu ndogo sio hizi😱.Game Over Everton 2 Chelsea 1,poleni sana..Niliwaambia juzi mimi ligi ngumu hii,haitabiriki mkaongea,yako wapi?.Bado Liver,Man Utd na Tottenham wanawasubiri....Na bado
Hahahaha! Kawaida, ndio mpira....ahsante. Ukisema Saha angefunga penalty maana yake kunakuwa hakuna umuhimu wa kipa, hayo ni matukio ya mpira kama amabavyo refa amwemwachia Fabreagas aliponawa mpira waziwazi.Ilitakiwa iwe 3 kwa 1, sema Saha amezidisha Fair Play, hadi penati fair play.......duuuh! nimeotta na mechi ifuatayo mtafungwa hivihivi.......siku ya mechi na wataalamu wa mpira dunia a.k.k Arsenal huyu kocha wa Everton alikuwepo, ulidhani alikuja kumpa pole Terry?........Poleni wakuu, inauma sana eti, eeeeeeeeeeeeh
Tabu ya Zzz Gonaz wakishinda wanaona kuwa mwaka huu adi treble yao, wakifungwa, ona wanavyopondana na kumsiliba Wenger utadhani sio hawa hawa, kudadadeki, kueni na msimamo nyie, msiwe kama ocean tides.
Tehetehe, Ab Tchaz!, Lol...mjomba, salaamu umezipata?, Lol..!, pole mgosiii!
If you believe that, then usiseme Le Arse wana easy games zilizobaki sababu huwezi kutabiri.ujumbe huu kwa washabiki wote wa chelsea:
"Football is not as predictable or scientific as some people think and sometimes people are wrong on what they say".Arsene Wenger a.k.a "The proffesor"