Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

huyu almunia mda umefika kumtema sasa,manake kila shot on goal ni kitu yeye kama hayupo pale golini.kipa bila kuwa na match winning saves ubora wako haunekani.
 
Chelsea kwa kweli wanarukaruka tu lakini ndio hivo wanaongoza.
Utafanyaje sasa hata kama wanarukaruka wakipata nafasi zao wana-capitalize. At end of the day goals are all that count. Hii ngoma utashangaa itapoisha droo. Mimi ni neutral.
 
Yakhee kutufunga mwatufunga lakini chenga twawala sie ati😀😀😀
 
Utafanyaje sasa hata kama wanarukaruka wakipata nafasi zao wana-capitalize. At end of the day goals are all that count. Hii ngoma utashangaa itapoisha droo. Mimi ni neutral.

Hapana kiongozi. Ukiangalia mechi ya ManU, nao walitumia mbinu hiyohiyo. Wanawaachia Arsenal wachezee mpira ila wanawasubiria kwenye breaks. Na Chelsea lwo ni ivoivo. Wameshajua cha kufanya.

Kama nilivyotabiri bado goli 2.
 
Mechi ile Arsenal walivyochabangwa 3 kwa mtungi, Wenger alisema ati hakuona kitu alichofanya Drogba.

Probably leo anaona vitu vinavyofanyika!
 
Hapana kiongozi. Ukiangalia mechi ya ManU, nao walitumia mbinu hiyohiyo. Wanawaachia Arsenal wachezee mpira ila wanawasubiria kwenye breaks. Na Chelsea lwo ni ivoivo. Wameshajua cha kufanya.

Kama nilivyotabiri bado goli 2.

Uwa ni kosa kubwa sana kuwaiga arsenal mchezo wao,unachofanya ni kuwaacha waendelee na kufanya mazoezi uku ukijaribu kuwafrustrate katikati pale,ukipata counter unamaliza mchezo.
 
Hapana kiongozi. Ukiangalia mechi ya ManU, nao walitumia mbinu hiyohiyo. Wanawaachia Arsenal wachezee mpira ila wanawasubiria kwenye breaks. Na Chelsea lwo ni ivoivo. Wameshajua cha kufanya.

Kama nilivyotabiri bado goli 2.
cha ajabu wenger hajajua hilo hili aweze kuwa control mabeki wake.
 
Mechi ile Arsenal walivyochabangwa 3 kwa mtungi, Wenger alisema ati hakuona kitu alichofanya Drogba.

Probably leo anaona vitu vinavyofanyika!

Leo kelele naona zimepungua wanasubiri upepo ugeuke ndo wataonekana hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom