Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

teh teh wamezidi mdomo sana hawa..AW si alisema hakuona Drogba alifanya nini mechi ya kwanza sasa na leo aongee tena....
 
hivi huyu kipa hamkujua bomu si mngesajili kipa wakati wa dirisha dogo?hata kwa mkopo mngemchukua Muharami wa Taifa starz
makipa wako wadogo wale fabianski na mannone wazuri kuliko hili sanamu la AW.Sema ndio hivyo proffesa hakosei yeye tunasema "Arsene knows".
 
Haya kwa wana ARSE hitma itahitimishwa na Porto kutilia sign kwenye another trophiless season.
 
hongerini chelsea.naona pasi zetu za ndani ya box zinatulostisha kila siku na wenger hata kuwaambia wachezaji wake wajaribu mashuti ya mbali wapi au wachezaji nao kufikiria kupiga mashuti wapi.Arshavin alivyokuja alikuwa mtu wa kupiga mashuti ya mbali sema nae kaaaribika sijui AW ndio anawaambiwa wasipige mashuti.


tunaangalie mbele bado nina moyo kwamba ligi hipo wazi.
 
makipa wako wadogo wale fabianski na mannone wazuri kuliko hili sanamu la AW.Sema ndio hivyo proffesa hakosei yeye tunasema "Arsene knows".

Arsenal itafanya vizuri ikimtimua Mr. Bean. Nadhani source yote inasababishwa na yeye kuishiwa mbinu. ALmunia ni mediocre, lakini kuna mediocre wengine kama akina Nasri, Walcott na bila kumsahau Cliche. Cliche & troop will never raise their game, maana vipaji ndio vimeishia hapo.
 
Mechi ile Arsenal walivyochabangwa 3 kwa mtungi, Wenger alisema ati hakuona kitu alichofanya Drogba.

Probably leo anaona vitu vinavyofanyika!

aaarrgghh dah unakumbuka kejeli za AW eehh......sasa leo ngoja tumsikie.......he is doomed......hi hi hi hi
 
Hamkosi visingizio... We nenda tu ukafikirie match dhidi ya L'pool. Mkifungwa hiyo basi... Mtakuwa mmefulia na kukamulia kabisa!


Hakuna cha kufikiria mkuu. Mpira wetu hatuwezi kubadili kwa siku moja Arsenal wamekuwa wakipigwa vita kila kona na mafioso. BTW umemaliza Teachers ngapi?
 
.....We nenda tu ukafikirie match dhidi ya L'pool. Mkifungwa hiyo basi... Mtakuwa mmefulia na kukamulia kabisa!

Khee e!

Nilikuwa nimesahau kuwa kuna mzizi mwingine!

Na tena jamaa wa L'pool inaonekana wamemaliza matatizo yao na laziiima wachume point tatu kwenye shamba la babu Wenger.

Narudia tena: Arsenal boys are too naive, too incompetent and too shallow to compete with the likes of Man U & Chelsea. When the match is due, they never turn up!

Kuweni chonjo, nafasi ya tatu sasa ipo hatarini!
 
huyu mnyama haangamiziki kwa kweli mashetani yana wakati mgumu sana msimu huu...
 
Mnadhani na ya Liverpool tutashindwa...hapana, tukisindwa sitafungua JF for 5 mins that day after the match....
 
Mnadhani na ya Liverpool tutashindwa...hapana, tukisindwa sitafungua JF for 5 mins that day after the match....

Babu SAF alishasema timu ambayo iko consistent ndio itakayofanya vizuri.....so far janja ya aseno kwisa gundulika...........mnaweza kutoa doroo au kuifunga liverpool mkaja kufungwa na vitimu vidogo.........wee subiri......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom