Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Kaka hapo umeongea point - watoto walale - saa hizi time mbaya tubaki sisi wazee -
Mafahali wawili - ha ha ha ha - mwaka huu tunaipeleka hadi kwenye wayaa.
Asenali, liva wasubiri mwakani -
Ila kaka Kumbuka UEFA mtoano unanukia - isije ikawa Tia maji Tia maji----
Dawa yenu inachemka hii hapa chini. Si mnajua ngoma ikilia sana huwa kinatokea kitu gani ... .....
Amna presha kaka wala kisukari, just mark my words; Chelsea na Man Utd kufika nusu fainali ya CL mwaka huu, bila shaka tutanyakua ubingwa mwaka huu wa CL. Wala wapaka upepo wa Hispania wasikupe presha. Ila Barca nataman wakutane na Chelsea aiseeeee😕😡🙄Lol!
Khe khe khe nicheke mie kumbe nyie munawahara Arsenal Yaani kipimo chenu ni Arsenal. Kumbe Arsenal bab kubwa wote mnajua jinsi wanavyosakata kabumbu basi sema kubebwa na kutoa fweza ndio nyenzo yenu , no worries na hii recession tutaona kama mafioso wataweza ku-last the course.