Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea 3 Arsenal 1

images
Huu utabiri ya Mzee Yahya unawaharibu sana unatabiri j'pili unasahau leo j'nne,he he he he
 
wacha1,

its ok, i dont think we needed more options anyway, the team is balanced and doing very well at a moment. a win today and arsenal on saturday will prove all that.
Hapo pekundu patamu, Hapo pa bluu hata hiyo moja msitegemee.
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 11 (1 members and 10 guests)
Mbona mnaogopa ku sign in na kujiita Guests kwenye thread yenu? Masanilo na Peasant msiogope ku sign in.
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 11 (1 members and 10 guests)
Mbona mnaogopa ku sign in na kujiita Guests kwenye thread yenu? Masanilo na Peasant msiogope ku sign in.

Leo watachungulia tu hawawezi kukubali aibu ya kushikwa kooni na Hull City.

I'm waiting for pensioners , ati wanacheza beautiful footbal. Beautiful football my a's's.


 
Kumbe nimekosa sana uhondo, ila mechi inayokuja dhidi ya Chelsea hawa gunners lazima wazae na mtu. Poelni watani ndio ukubwa wenyewe huo.
 
Mkuu uko wapi leo uhondo ulikuwa Hull City


Again Wenger has failed to prove his philosophy......... and he will never prove that unless he agrees to spend money like the other clubs....
 
Unaongea pumba tu Acheni Lote has failed miserably kwa timu iliyo mkiani


Washika bunduki tatizo maneno mengi sana mkifika uwanjani mnaanza kuremba. Mtoto halali na pesa analala na k........si


Vipi Chelsick maneno kama pilipili manga bila fweza hamshindi kazi yenu ni Umafia tu .


Pooleeeee Samaki poleeeeeeee
 
You can see by yourself Hull ha ha ha haaaaaa


Hahahahahah hawa Bata tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!

As you like

Nitakuwa ndani ya Daraja (SB) chief, lakini nitacomment bahada ya mechi, Inshallah.


Daraja leo lilikuwa KC Stadium upo hapo?
 
 
Jamani picha ziko wapi?

Hujaziona mkuu au hazitoshi
 
poleni sana wenyeji wa hapa...
Timu bado changa, wakikuwa wata-deliver. fukuzeni kocha... au ana hisa? au timu ya ukoo make jina lake na la timu kama......................
 
 
Vipi vikongwe imekuwaje leo .... Fukuzeni kocha ndiyo tabia yenu. Abram o Vich recession imempata sasa sijui kocha gani atakuja kwa peremende.
 
Mouyokolo single-handedly took you to the cleaners! Weka picha, picha, picha, picha...plz!


Mouyokolo leo kawapa kwikwi ya hali ya juu. Picha hapa chini naona unaipenda
 
 
_47232602_mouyokolo_pa766.jpg

 
Deadly precision - Mouyokolo
 
That's what you get when it's boys against men!

Vikongwe against bottom of the table
 
..Chelsick are simply loosers, useless!!!!!.QUOTE]

You can say this again and again

Khe khe khe kama kawa


Yeah, tunataka picha.....picha, picha, picha, picha Mouyokolo akiwatoka mabeki wawili (na wa tatu) wa Chelsick kabla ya "kufunga" goli la kwanza! Bwabwa1 weka picha hapa!

_47232568_terry_afp766.jpg
 
Naona jukwaa leo limepooza kama ugonjwa ule wa kupooza kisa Chelsick Kwishnei. Ilikuwaje lakini mbona jamaa waliopeleka fweza walifika salama salimini au ndio mmekutana na Mafioso wenzenu wamewazidi ujanja?

Leo mtachungulia tu kama nguchiro.


_47232901_hull.jpg



Chelsick walifikiria Premier League ni chandimu.
 
cech_280x390_978936a.jpg


PETR CECH has two reasons to be cheerful ahead of tonight's match at Hull. The Chelsea keeper is looking for his 100th league clean sheet for the club and is delighted with the way the buoyant Blues are playing.

Khe khe clean shit khe khe khe
 
Tumepoteza point mbili muhimu na kuondoka na point moja si sawa na mikono mitupu by the way bado tunaongoza ligi na Jmosi tuna point tatu.Kuna watu wanapiga kelele hapa kama vile waliwachapa Manure 3 -1 vile.
 

Enjoy mkuu ndio mambo hayo.

Mazee sasa hivi timu inayocheza beautiful game with confidence ni Chelsea. Good in defence, timu imebalance na wanapiga pasi kama zimepimwa na rula. Naona tar'tibu inaanza kunikumbusha kikosi cha masela kile cha kocha-mchezaji Ruud Gullit, Zola, Di Matteo, Casiraghi, Petrescu, Vialli na Flo et al. Timu nyingine mkubali tu kuwa msimu huu kwa England ni wa Chelsea FC na watakamata doubles, EPL & FA.
Zaidi ya hapo mtapata jakamoyo la bure..


Kweli bana hata leo tumeona yaliyotokea KC Stadium kwenye Hull of fire.

Hahahaha! One word, only one word for Chelsick, MDEBWEDO!

Definately.

ha ahaha, sorry guys, not Chelsea, Man U


Absolutely kwi kwi kwi kwi

vipi wazeeeeee?


Si unaona jukwaa jeupe leo ngebe zote kwishnei, ndio tabia ya mafioso hiyo wengine walifikiri chandimu.
 
Tumepoteza point mbili muhimu na kuondoka na point moja si sawa na mikono mitupu by the way bado tunaongoza ligi na Jmosi tuna point tatu.Kuna watu wanapiga kelele hapa kama vile waliwachapa Manure 3 -1 vile.

Premier League mkuu May ndio tutajua zipi mbivu. Mbona ulikuwa na kelele nyingi weekend kwani Chelsick ndio Manure?

Hapa ni majibu ya hoja zenu tu .
 
 
Pilau imeingia maji.

Kweli mkuu na maji yenyewe sijui yatatoka vipi?

Hizo goli hazirudi wala nini. Mnadhania Bolton Wanderers hao??

Vipi Hull of fire?

Too young and too naive to compete with the likes of Man U & Chelsiki. At certain points is like Men against Boys. Sorry guys!

You saw your pensioners today Kwishnei.

Washabiki wa Chelsick kwa matusi ni balaa leo kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mouyokolo

Mkumbukeni tu

Haya haya..


Kama kawa.
 
Premier League mkuu May ndio tutajua zipi mbivu. Mbona ulikuwa na kelele nyingi weekend kwani Chelsick ndio Manure?

Hapa ni majibu ya hoja zenu tu .
Hakuna hoja ya kujibu hapa kama ni kujibu tutajibu kwenye pitch practically.
 
Tumeyaona majibu KC Stadium Chelsick Mafia team mdebwedo.
Na wakumbuke J'pili, ni siku ambayo J.Terry atakuwa ameshanyanganywa ukapteni wa neshino timu na Capelo, kwa machungu na majonzi atakayokuwa nayo basi atakuwa chochoro.
 
Na wakumbuke J'pili, ni siku ambayo J.Terry atakuwa ameshanyanganywa ukapteni wa neshino timu na Capelo, kwa machungu na majonzi atakayokuwa nayo basi atakuwa chochoro.

Ambaye hajawahi zini au kufanya mapenzi nje ya ndoa yake na awe wa kwanza kumnyang'anya JT ukapteni wa timu ya Taifa.
 
Jamani msaada tutani nawatafuta mafioso team wa pale darajani mara ya mwisho walionekana pale KC Stadium mweye taarifa anaweza kutuma message kwa siri kwenye simu ya Invisible ambayo haijulikani au awasiliane na Constable kikojozi aka Masanilo vinginevyo anaweza kuacha ujumbe kwa corporal peasant teh teh teh khe khe khe.

Tumepewa taarifa kwamba wako kwenye anga za mapenzi thread khe khe wakijiliwaza khe khe khe khe, yote hayo ni kutokana na maumivu sugu yaliyosababishwa na Mouyokolo.

Mpiga picha wao maarufu ametekwa na forum ya Udaku kule Kalenjini amejitahidi kutoroka lakini ameishia kudakwa na Mungiki brothers juhudi zinafanywa na Interpol kuhakikisha usalama wake. Baadhi ya wakuda wa Mafia wamejeruhiwa na inaelekea wanaweza kuathirika zaidi kwa sababu mbu wengi kwenye huu msimu wa masika wananyemelea kitoeo ambacho kimejileta chenyewe na mavuno yatakuwa Jumapili hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom