BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Poleni Hasanali, tunawasubiri Darajani wiki ijayo!
Pooleeeee Samaki poleeeeeeee
Nitakuwa ndani ya Daraja (SB) chief, lakini nitacomment bahada ya mechi, Inshallah.
Pooleeeee Samaki poleeeeeeee
Hahahahahah hawa Bata tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Pole ya nini? Tu-compare notes May? Kwani hufahamu hii ni League kuna mechi utashinda na nyingine utapoteza na hii ni mojawapo.
Mwalimu nina hakika kuna picha nyingi zaidi ya hii, ebu tuwekee hapa tafadhali. Tuonyenyeshe angalau za bao la kwanza, Nani akiwaacha solemba gooners!