Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
Haya haya..
.......or at least to rescue a point.....
Jmushi1,
Kama hiyo 'preciseness'' kama ulivyosema haifanyi kazi, WHY not change? why stick to a failed system?
Hiyo ndo shida yangu!
Where is Bala na yule BAK!!!
Nipo Mkuu, asiyejua kushindwa si mshindani lakini we have 45 minutes to go. Bala nadhani atakuwa na udhuru vinginevyo ni lazima angekuwepo hapa. Yule ni mpambanaji na kamwe hawezi kukimbia kipigo hata kama kinatoka kwa MANU.
siwezi kupata ban kumtukana mtu ambaye hayupo jf lol.Mkuu vipi mbona waleta matusi? Unataka Ban? hahahahahahahahahah