vipi wazeeeeee?Abdulhalim, Arsene Wenger, bishoke, jmushi1, Mfunyukuzi, Mndundu, Monsignor, MpigaFilimbi, Wacha1 aka Bwabwa1
......proffesor ana jeuri ya kusema haitaji striker ,kama huitaji striker ni sawa sawa na kusema huitaji kombe.
campbell hachezi.defense leakage hipo kwa clichy na kinacho sababisha hayuko fit bado na kama unaona uko na mtu kama NANI anakuzidi pace vile haina haja kupanda mbele sana na kumuachia room ya kufanya anachotaka.ni 3 kwa mtungi mpaka muda huu!
Do you think tatizo ni ukosefu wa striker pekee? I don't think so broda!
Badala ya kuchukua walinzi proven, anaiishia kuchukau akina Sol Campbel,
Mnalo msimu huu!
I said this is an easy game for Man Utd! Mazeee mupo? BAK, AW, Bala etc etc
vipi wazeeeeee?
ni 3 kwa mtungi mpaka muda huu!
Do you think tatizo ni ukosefu wa striker pekee? I don't think so broda!
Badala ya kuchukua walinzi proven, anaiishia kuchukau akina Sol Campbel,
Mnalo msimu huu!
i dont know hope we can take something from chelsea and liverpool and they have to play against each other too and we cant afford to loose more games.Duuuh, ama kweli khari ni mbaya si tu moyo waenda mbiobali ni kuwaza nini kitajili baada ya dkk 90 na mechi na Chelsea itakuwaje!!!!!!!!!!!!!
good point.beautiful game yetu huwa ina tu cost sana tukicheza na big 4 sometimes.The only survival kwa Arsenal kucheza na ManU au Chelsea ni kucheza defensive game. Wenger kwa sababu ya ukaidi wake kila siku anakumbushwa na matokeo lakini hajifunzi.
Mabadiliko aliyoyafanya si mabaya labda la machozi litakuwepo,Ila Arsenal wako confused hawajui wakabiliane vipi na hizi counter attack
mdomo wako mbaya sana lol.Goli lipo mpira ukiisha kwisha! LOL