Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mechi imeisha vibaya sana....Arsenal wamefungwa, Ghana wamefungwa....ngoja nimpigie my expected wife simu tuongee wee ili kupunguza machungu.........ya chelsea, sijui itakuwaje??????????????????????

...Mechi ya Chelsea dawa ni kutoiangalia tu wala kubishana na hawa kina Masanilo na Peasant. Tutafungwa tu, tena mengi sana. Acha tu...inauma lakini ndio ukweli wenyewe.

Wenger kazi imemshinda

Yeah, tunataka picha.....picha, picha, picha, picha Nani akiwatoka mabeki wawili (na wa tatu) wa Arse kabla ya "kufunga" goli la kwanza! Bwabwa1 weka picha hapa!

...Yaani Nani alivyowapita wale mabeki wawili dah, inauma kweli aisee, haki ya nani tena sina tena mapenzi na Arsene Wenger hata tukimaliza watatu msimu huu. It's all over...🙁
 
poleni sana wenyeji wa hapa...

Timu bado changa, wakikuwa wata-deliver. fukuzeni kocha... au ana hisa? au timu ya ukoo make jina lake na la timu kama......................
 
Get rid of the retarded manager plus the likes of Almunia, Sol Campbel (kwanza walichukua huyu wa nini???? cheap labour??), Denilson, Bendtner, Sylivester etc!
sol campbell ni sub ya varmelen na galas mbona anakusumbua akili hivyo? contract yake mpaka mwisho wa msimu kuna injury kumbuka.

denilson and bendtner future lakini anahitaji sana kuleta striker kukava pengo la RVP but its too late now.Wenger mwenyewe ukimsoma anaonekana kaichoka Arsenal ndio maana anafanya decisions za ajabu kama kukataa kusajili wakati anajua ana shida.Anawafanyia maksudi board hili wamfukuze lakini ndio hivyo board wabishi kwahio sisi kama FANS we have to deal with what we have.


He is not retarded, he is still one of the best managers lakini jeuri yake ya kujifanya anajua sana ndio ina m-cost.

sylvestre hana maana hata kidogo,tulikuwa atumuhitaji na wenger anajua sema ndio mambo yake ya french connection.
 
mkuu pole sana lol,naona hasira zako zimevuka mpaka sie tumejaribu kujizuia.


maneno yako ni ukweli mtupu lakini ARSENE WENGER hawezi kufukuzwa mpaka siku timu itakapouzwa.Board inajali stock zao na inaonesha kwamba Wenger ameweza kubalance timu kutokana na budget iliopo na hicho ndio wanachompendea hakuna kingine.

AW baada kuona budget haimrusu kuwa competetive na wakubwa wenzake akaona bora atumie style ya kuja na vijana kwani ni rahisi sana kumsamehe kwa kufika pale anapoifikisha timu.timu inafika sehemu nzuri lakini ndio utoto unawasumbua wako so relax na hawajui kulazimisha ushindi.

dont loose hope ni mapema mno ,tuangalie mbele sasa.

...ama? huyu huyu Arsene Wenger mwenye £30m mfukoni lakini anasema haoni wachezaji? kama sio ujinga nini? ...hayo mambo ya ku balance vitabu havituhusu sie walalahoi ambao tunazomewa hapa kila msimu na kina Belo na Peasant!...

Kama hana uwezo wa EPL basi si angalau angepigania Carling Cup? kuna haja gani kufukuzia EPL wakati uwezo wetu ni nafasi ya nne?
Bora niseme bana, siwezi tena kuzizuia hasira zangu kwa huyu WENGER!

...His time is up!!!
 
...Mechi ya Chelsea dawa ni kutoiangalia tu wala kubishana na hawa kina Masanilo na Peasant. Tutafungwa tu, tena mengi sana. Acha tu...inauma lakini ndio ukweli wenyewe.

Wenger kazi imemshinda



...Yaani Nani alivyowapita wale mabeki wawili dah, inauma kweli aisee, haki ya nani tena sina tena mapenzi na Arsene Wenger hata tukimaliza watatu msimu huu. It's all over...🙁

For the first time you made me feel sympathetic for the Arse! Pole sana chief, I can feel what you're running through.
 
...ama? huyu huyu Arsene Wenger mwenye £30m mfukoni lakini anasema haoni wachezaji? kama sio ujinga nini? .!!!
ndio maana nasema anafanya maksudi na anataka kuondoka Arsenal lakini board inamang'ang'ania kwa ajili yao binafsi na sio kwa ajili ya timu.
 
Nani single-handedly took you to the cleaners! Weka picha, picha, picha, picha...plz!
 
...Mechi ya Chelsea dawa ni kutoiangalia tu



...Yaani Nani alivyowapita wale mabeki wawili dah, inauma kweli aisee, .🙁
mimi nitakuwakilisha mkuu mapema kwenye kuangalia game na chelsea ha ha ha.

Kuhusu hile move ya NANI mkuu tuache utani mimi mwenyewe nilibaki mdomo wazi.
 
Kama mliangalia mechi na AS, Ashley Young alimtesa sana Gael Clinchy! Leo Nani amerudia hicho hicho....nadhani huenda Fabregas hakuwa kwenye form! Mechi ya Arsenal pale SB sitaangalia bahati mbaya nasafiri najua Peasant na wenzake watawanikilisha! Itabidi mcheze vizuri Malouda atamtesa sana Clinchy na Gallas na Drogba.....Mhhhhhh Anelka na Sol Campbell teh teh teh teh
 
Kama mliangalia mechi na AS, Ashley Young alimtesa sana Gael Clinchy! Leo Nani amerudia hicho hicho....nadhani huenda Fabregas hakuwa kwenye form! Mechi ya Arsenal pale SB sitaangalia bahati mbaya nasafiri najua Peasant na wenzake watawanikilisha! Itabidi mcheze vizuri Malouda atamtesa sana Clinchy na Gallas na Drogba.....Mhhhhhh Anelka na Sol Campbell teh teh teh teh
kama unasafiri basi tunashinda hio mechi lol.
 
Kama mliangalia mechi na AS, Ashley Young alimtesa sana Gael Clinchy! Leo Nani amerudia hicho hicho....nadhani huenda Fabregas hakuwa kwenye form! Mechi ya Arsenal pale SB sitaangalia bahati mbaya nasafiri najua Peasant na wenzake watawanikilisha! Itabidi mcheze vizuri Malouda atamtesa sana Clinchy na Gallas na Drogba.....Mhhhhhh Anelka na Sol Campbell teh teh teh teh
Nitakuwa ndani ya Daraja (SB) chief, lakini nitacomment bahada ya mechi, Inshallah.
 
Nitakuwa ndani ya Daraja (SB) chief, lakini nitacomment bahada ya mechi, Inshallah.
mimi nataka twende dakika kwa dakika kama leo humu.hakuna mambo ya baada mechi mkuu.

baada mechi tunamalizia tu humu kwa kupokea pole na hongera lol.
 
Dah! Imekaa vizuri sana yani. Man U anaua huku Bongo Phiri anafanya Ze Nidiful
 
Tumevuna points 6 msimu huu toka shamba la bibi, tehtehte! Man U is the team!

Combination ya mauaji leo ilikuwa hii
_47218104_008657565-2.jpg
 
ushindi kesho hupo mkuu bila wasi wasi na ni mkubwa tu hata kama varmelen hayupo.

Usikimbie tu kesho 😉 tutakapokuwa tumeamua kuwasha indicator rasmi kwamba sasa tunaondoka zetu.

Arsenal 2 Man Utd 1(wafungaji Nasri,Fabregas/Rosicky kwa Arsenal,Rooney kwa Manure) matokeo haya yatakuwa endapo Thomas Vermaelen atacheza(kama S.Campbell ataanzia benchi)😀😀😀😀😀



Bado kama dakika 50 ili shughuli ya kuwanyanyasa MANU 3-2 ianze rasmi. Ushindi leo ni lazima wana GUNNERS wenzangu.

Why can't you take your humble pie?
 
Back
Top Bottom