Inaelekea itakuwa mechi yenye magoli mengi,maana Arsenal hawawezi kutoka kapa moja kwa moja,lets wait and see
huyu arshavin ni mpumbavu sana.
Weekend inaishia vizuri siyo siri, mmh nisubiri 90mnts mana kibao kisije kikageuka...huree Man Utd!
mkuu kosa tutakalolifanya hapa ni tutakuwa tunakamatwa kwenye counter attack tu sasa hivi kwa vile tutakuwa tunaenda kulazimisha magoli.arshavin nafasi kibao za kuwaekea wenzake wa press kataka kufunga mwenyewe.Inaelekea itakuwa mechi yenye magoli mengi,maana Arsenal hawawezi kutoka kapa moja kwa moja,lets wait and see
Arsenal shida yao kubwa ni "preciseness" kwenye umaliziaji,hilo tu.
No man..is more than this, believe me!