LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Naunga mkono, Ni heri kuanza upya.hapo wataanza kutangulizwa polisccm.
Mimi sijasema kitu Kama hicho wewe umekosea mlango umeenda kuhani nyumba ya wasiofiwa.Umeamua tunuchukue post yangu kuijibu bila kujua unayemjibu sio Mimi .Sina kiwango Cha chinincha reasoning. Umekurupuka mtafute huyo aliyeandika Hilo ndio imjibuWe yamekushuka mchana si ulisema mimi kusema Act Wazalendo wajitoe ukasema nawapangia, nisiwapangie kiko wapi sasa si hawa wamejitoa. Tunapoandika tunatumia reasoning siyo mikurupuko ya buku saba kama nyinyi.
Siku mtakula vyenye sumu yawapate yaliyowapata wale waliokula uyoga wenye sumu.Kususa nako kuna kanuni zake, wewe ukisusa, wenzio twala.
.
PSwali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?
Wanabodi, Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga...www.jamiiforums.com
Mkuu Nusu Hela, kwanza nakubaliana na wewe kuwa haki ya mtu ni stahiki, haiombwi wala hauletewi kwenye kisahani cha chai bali haki hudaiwa.Vingine haviliki.
Achana na haki za watu mkuu. Huwa haziombwi. Ipo siku watazidai.
Haya sio mambo ya kushabikia hata kidogo.
Mambo ya kugusa jamii moja kwa moja ni ya kuyaogopa kabisa
Kuleni tu Mzee baba. Huu udhalimu hautadumu milele.Kususa nako kuna kanuni zake, wewe ukisusa, wenzio twala.
.
PSwali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?
Wanabodi, Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga...www.jamiiforums.com
Hayana marefu yasiyo na ncha. Kama Mbozi wameanza kuharibu mashamba ya watawala tafsiri yake Ni Nini? Ni Kwamba tumesha anza kuwindana. Utasikia wake wa watawala wanaanza kubakwa, watoto wa shule watawala wameshambuliwa wakiwa njiani, na Visa vingi.Mkuu Nusu Hela, kwanza nakubaliana na wewe kuwa haki ya mtu ni stahiki, haiombwi wala hauletewi kwenye kisahani cha chai bali haki hudaiwa.
Kwa vile sisi Watanzania tulipata uhuru wetu bila kumwaga damu, hivyo Watanzania ni watu peaceful sana, hata tufanyiwe nini kazi yetu ni kupiga tuu kelele mchana, usiku tutalala .
P
Mbinu za kudhibiti huo mchezo mchafu ni kususia uchaguzi.Siasa siasa
Unajua unapo zungumza kuusu siasa Kuna vitu vingi Sana.
Huwezi kushinda kisiasa kama uja fanya jitihada za kumcha fua mpinzani wako.
.. Nieleweke kuwa sio kumtusi au vinginevyo Bali kuangalia mapungufu Aliyo nayo wewe uyatumie kama seem ya kujipatia ushindi
Nikweli kabisa figisu figisu zipo lakini hapa tuangalie je wanao fanyiwa hizo figisu Wana chukua hatua gani mana sheria na kanuni zipo.
Ukisha jua kuwa mwenzio ni mchezaji mchafu unatakiwa upambane ili uweze kudhibiti mianya yote ya wewe kukuchezea rafu
Na zani yakifanyika hayo mambo yatakuwa salama japo sio Sana ila itakuwa nafuu
Nampongeza sana Zitto kwa huu uamuzi wa busara. Historia itakuwa upande wenu. Big up sana ACT WazalendoKususa nako kuna kanuni zake, wewe ukisusa, wenzio twala.
.
PSwali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?
Wanabodi, Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga...www.jamiiforums.com
Bora iwe hivyo kwa muktadha wa uchaguzi huu wa serikali za mitaa, yaani wagombea wote waenguliwe kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu, watendaji wa kata wamepewa maagizo wasitangaze mpinzani yeyote kashinda kwenye maeneo yao vinginevyo watafukuzwa kazi na kunyimwa pensheni zao watu taarifa tunazo, yeye Jiwe kwa kauli yake anawaambia wakurugenzi nikupe gari, mafuta, posho halafu utangaze mpinzani kashinda. Sasa vyama vya upinzani viko sahihi kabisa kujitoa kuliko kuubariki uchaguzi haramu uonekane halali. Anyway ccm naona mmenuna sana si muendelee na huo uchaguzi wenu wa ndani. Mimi nashangaa ccm mnaumia nini maana nilitegemea baada ya Chadema na Act Wazalendo kujitoa wangefurahia na kurukaruka mpaka kugalagara maana sasa wanapata ushindi wa kishindo, tofauti yake wameumia sana, wamenuna, mnataka nini damu za watu?Kususa nako kuna kanuni zake, wewe ukisusa, wenzio twala.
.
PSwali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?
Wanabodi, Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga...www.jamiiforums.com
Mbona ccm wameumia sana baada ya Chadema na Act Wazalendo kujitoa, sijui watamuibia nani kura safari hii?Vingine haviliki.
Achana na haki za watu mkuu. Huwa haziombwi. Ipo siku watazidai.
Haya sio mambo ya kushabikia hata kidogo.
Mambo ya kugusa jamii moja kwa moja ni ya kuyaogopa kabisa
Jitahidini kuwa na afya njema ya akili,msifanye mchezo na mambo ya Kitaifa.Nasari na Lisu walionewa viongozi walienda mahakamani na mawakiri kedekede walijitokeza kuwapambania, kama Suala la Lisu na Nassari hawakususa iweje leo wasuse kwa uonevu unaohusisha maelfu ya viongozi wa chini? Hao Lisu na Nassari ni watu muhimu sana kana chama kuliko hawa wa chini?
Na ujumbe umfikie aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi yaani toka akiwa mbunge kwenye uchaguzi ni maujinga tu, mpaka sasa anayaendeleza bila aibu, huyu nina mashaka na elimu yake, kabila lake, hata IQ yake.Pascal Mayalla ifikie pahali tuukubali ukweli...wewe unaona haya yaliyotokea ni mazuri?
Kwa nini chama kiogope ushindani huru?
Maaana yake chama hakijiamini.fujo zilizofanywa safari hii ni aibu kubwa..
Pascal hili si swala la kulichukulia juu juu ujue athari zake ni kubwa mno na huenda zikadumu hadi 2025.
Niseme tu kama ni amani ya nchi hii watakaoivuruga ni hiki hiki chama chenye nguvu.