Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 baadhi ya makada wa CCM wameanza kutoa kauli tata ambazo zinaashiria kuwa vyovyote itakavyokuwa lazima CCM ibaki Madarakani. Kwamba CCM hakijaombwa kushindwa.
Kada mmoja amenukuliwa akiwaponda ACT Wazalendo kuwa haiwezekani wao CCM waandae chakula wao halafu kushiba ashibe ACT Wazalendo.
Kada mmoja amenukuliwa akiwaponda ACT Wazalendo kuwa haiwezekani wao CCM waandae chakula wao halafu kushiba ashibe ACT Wazalendo.