Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,536
- 8,625
NINA UHAKIKA MKUBWA KABISA KWENYE HOTUBA YAKE LEO RAIS ATASHINIKIZA SPIKA AENDELEE KUWA MBUNGE NA BAADAYE SPIKA WA BUNGE LIJALO ......ILE KUAGA JANA ILIKUA SEHEMU YA MCHEZO
Yule sidhani kama ataacha kutorejea bungeni.NINA UHAKIKA MKUBWA KABISA KWENYE HOTUBA YAKE LEO RAIS ATASHINIKIZA SPIKA AENDELEE KUWA MBUNGE NA BAADAYE SPIKA WA BUNGE LIJALO ......ILE KUAGA JANA ILIKUA SEHEMU YA MCHEZO
Leo tarehe 16 Juni 2020, Rais Magufuli analivunja bunge kwa ajili ya kufanya matayarisho ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, ambapo uchaguzi wa rais na wabunge utafanyika kwa wakati mmoja.
Bunge la 11 lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tutawaletea kile kinachojiri kutoka bungeni.
FUATILIA:
UPDATES:
Marais Wastaafu, Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu Dr Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais Mstaafu Dr Gharib Bilal wakiwa Bungeni mjini Dodoma wakisubiri kusikia hotuba ya kulivunja Bunge Leo kutoka kwa kwa Rais Dk John Magufuli
09:24am - Makamu wa Rais na Rais wa Zanzibar wameshafika katika Ukumbi wa Bunge na pia wapo Viongozi wa zamani
09:36 Rais Magufuli awasili kwenye viwanja vya Bunge, akaribishwa kwa Wimbo wa Taifa na kukagua Gwaride Maalum
09:49 Rais Magufuli aingia Bungeni kusaini kitabu cha wageni
Ile ya kutoshtakiwa mihimili ya serikali nayo ilijadiliwa??Rais tayari kaweka saini kwenye miswada yote hivyo tayari zimekuwa sheria
Ile ya kutoshtakiwa mihimili ya serikali nayo ilijadiliwa??