Binti wa dukani alitafutiwa kazi hii kwa taabu sana ila cha ajabu hajamaliza hata mwaka ana mimba, Ntalaumiwa nikiweka binti mwengine?

Ongezea kucha na nywele ili hasira zipunngue. Hilo duka lako ni hardware kwamba vitu ni vizito hawezi kubeba.?
 
Binti alifika dukani mwezi wa kwanza mwaka huu, Ni binti ambae sijawahi kuwa na tatizo nae kasoro hivi karibuni

Siku ya ambayo duka halifunguliwi / mapumziko huwa ni Jumapili lakini kwa sasa hali imebadilika, Kwa takribani wiki 5 mfululizo zilizopita ni lazima siku moja wapo kati ya Jumatatu hadi Ijumaa hafungui duka mara aniambie kichwa kinauma, msiba, homa, usafiri, n.k. ila kuna taarifa nikapata huwa anaenda kliniki, mimba iliyoanza kuonekana kwa mbali imethibitisha hii taarifa.

Tatizo sio mimba bali ni kutofungua duka siku ambazo sio za mapumziko anaenda clinic ama kutokuja kwa sababu zengine ambazo zinahusiana na hio mimba.

Binafsi nina kazi nyingine huwa namuachia duka, baadhi ya siku za jioni naenda kuhesabu mzigo na kukagua hesabu, hivyo akiwa hayupo duka linafungwa.


Sasa nawauliza,

Je, Kiuhalisia binti wa dukani anaweza kuendelea na kazi zake bila kushuka uwezo wake wala mambo yake binafsi kuingilia mambo ya ofisi akiwa na mimba?
Wrka kijana wa kiume, wa kike wana changamoto ya kudhani anakimbizana na umri hivyo akitongozwa anaamini kapata tobo alilokuwa analikbilia...
 
hapo tatizo ni uyo mdada kawa muongomuongo hajawa muwazi, anamdanganya bosi wake. iyo mimba sio tatizo mbona
 
Muwe
Binti alifika dukani mwezi wa kwanza mwaka huu, Ni binti ambae sijawahi kuwa na tatizo nae kasoro hivi karibuni

Siku ya ambayo duka halifunguliwi / mapumziko huwa ni Jumapili lakini kwa sasa hali imebadilika, Kwa takribani wiki 5 mfululizo zilizopita ni lazima siku moja wapo kati ya Jumatatu hadi Ijumaa hafungui duka mara aniambie kichwa kinauma, msiba, homa, usafiri, n.k. ila kuna taarifa nikapata huwa anaenda kliniki, mimba iliyoanza kuonekana kwa mbali imethibitisha hii taarifa.

Tatizo sio mimba bali ni kutofungua duka siku ambazo sio za mapumziko anaenda clinic ama kutokuja kwa sababu zengine ambazo zinahusiana na hio mimba.

Binafsi nina kazi nyingine huwa namuachia duka, baadhi ya siku za jioni naenda kuhesabu mzigo na kukagua hesabu, hivyo akiwa hayupo duka linafungwa.


Sasa nawauliza,

Je, Kiuhalisia binti wa dukani anaweza kuendelea na kazi zake bila kushuka uwezo wake wala mambo yake binafsi kuingilia mambo ya ofisi akiwa na mimba?
Huyo sio binti Tena,NI mama.
Mtafute mwingine.
Duka liko wapi?
 
MABINTI WAKIPEWA SEHEMU YA KULA, KULALA NA KUVAA.
WANAONA MAISHA NI RAHIS SANA, NA WANAONA KILA MWANUME ANAMAPENZI YA KWELI KWAKE.
NA UKIMSHAURI, HAMTAELEWANA. ATAONA KUNAMZIBIA FURSA.

AKIPEWA MINBA HIVYO, HALAFU MWAMBIE AKAISHI KWA HUYO MWENZIE KWA WIKI MOJA TU ANACHOKA.
NA KURUDI KWAKO ANAOGOPA KWANI MENGI ULIISHA MWELEZA.

KUKWEPA MZIGO WA MIMBA, ATASHAURIWA NA MWENZIE AENDE KUJIFUNGUA KWAO, KIJIJINI!.
MTOTO ANAKUWA NI MZIGO WA MAMA, BIBI, WAJOMBA, NK.

NDIO HAWA WA "ALINIPA MIMBA, AKANITELEKEZA" ! WANAUME WOTE MBWA!
 
MABINTI WAKIPEWA SEHEMU YA KULA, KULALA NA KUVAA.
WANAONA MAISHA NI RAHIS SANA, NA WANAONA KILA MWANUME ANAMAPENZI YA KWELI KWAKE.
NA UKIMSHAURI, HAMTAELEWANA. ATAONA KUNAMZIBIA FURSA.

AKIPEWA MINBA HIVYO, HALAFU MWAMBIE AKAISHI KWA HUYO MWENZIE KWA WIKI MOJA TU ANACHOKA.
NA KURUDI KWAKO ANAOGOPA KWANI MENGI ULIISHA MWELEZA.

KUKWEPA MZIGO WA MIMBA, ATASHAURIWA NA MWENZIE AENDE KUJIFUNGUA KWAO, KIJIJINI!.
MTOTO ANAKUWA NI MZIGO WA MAMA, BIBI, WAJOMBA, NK.

NDIO HAWA WA "ALINIPA MIMBA, AKANITELEKEZA" ! WANAUME WOTE MBWA!

Sema Uko mbali ungepata soda
 
Kinachokuuma ni vile tu mimba sio yako!
Hivi kwanini watu wanakuwa na mawazo ya kijinga kama haya? Kwa mfanyabiashara, kutofungua duka kwa siku Moja ni hasara kubwa. Mbaya zaidi sababu ziwe za kijinga inauma. Sijaona popote huyu jamaa akilalamika kuhusu kutokuwa muhusika wa hiyo mimba. Kwanini imuume ? Kwaza huwezi kuwa na Binti wa dukani ukamgeuza mpenzi. Ni ujinga wa hali ya juu mno. Kwanini watu mnawaza kuwa anaumia kwakuwa hajatia yeye mimba?
 
Hivi kwanini watu wanakuwa na mawazo ya kijinga kama haya? Kwa mfanyabiashara, kutofungua duka kwa siku Moja ni hasara kubwa. Mbaya zaidi sababu ziwe za kijinga inauma. Sijaona popote huyu jamaa akilalamika kuhusu kutokuwa muhusika wa hiyo mimba. Kwanini imuume ? Kwaza huwezi kuwa na Binti wa dukani ukamgeuza mpenzi. Ni ujinga wa hali ya juu mno. Kwanini watu mnawaza kuwa anaumia kwakuwa hajatia yeye mimba?
Nadhani hujawahi kufanya biashara au kuwa serious na biashara, kwa biashara hata lisaa limoja kuchelewa kufungua naweza kukufukuza kazi.
 
Watu humu wana act kuwa ni haki ya huyo mdada kupata mimba, ila wajue tu ufanisi utashuka mara dufu na hapo akifika miezi 7 ndio kufunga kutaongezeka, akijifungua akae siku karibu 40 ndani, akirudi napo ufanisi unakuwa very down,
Halafu mtu amkumbatie mtu kama huyo dukani?
Mkuu terminate mkataba sema tu mpe haki zake anazostahili
 
Back
Top Bottom