Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,725
- 12,382
Mwambie amlete aliyetia mimba kwa bosi.
Mwambie kuna wateja wana aleji na mtu mwenye mimba
Mwambie kuna wateja wana aleji na mtu mwenye mimba
nadhani hujamuelewa.. ameuliza baada ya kupata mimba utendaji kazi wake dukani utakuwa na ufanisi? wadada/mama humu mpeni jibuKazi yako haihitaji mtu apate mimba?
Wrka kijana wa kiume, wa kike wana changamoto ya kudhani anakimbizana na umri hivyo akitongozwa anaamini kapata tobo alilokuwa analikbilia...Binti alifika dukani mwezi wa kwanza mwaka huu, Ni binti ambae sijawahi kuwa na tatizo nae kasoro hivi karibuni
Siku ya ambayo duka halifunguliwi / mapumziko huwa ni Jumapili lakini kwa sasa hali imebadilika, Kwa takribani wiki 5 mfululizo zilizopita ni lazima siku moja wapo kati ya Jumatatu hadi Ijumaa hafungui duka mara aniambie kichwa kinauma, msiba, homa, usafiri, n.k. ila kuna taarifa nikapata huwa anaenda kliniki, mimba iliyoanza kuonekana kwa mbali imethibitisha hii taarifa.
Tatizo sio mimba bali ni kutofungua duka siku ambazo sio za mapumziko anaenda clinic ama kutokuja kwa sababu zengine ambazo zinahusiana na hio mimba.
Binafsi nina kazi nyingine huwa namuachia duka, baadhi ya siku za jioni naenda kuhesabu mzigo na kukagua hesabu, hivyo akiwa hayupo duka linafungwa.
Sasa nawauliza,
Je, Kiuhalisia binti wa dukani anaweza kuendelea na kazi zake bila kushuka uwezo wake wala mambo yake binafsi kuingilia mambo ya ofisi akiwa na mimba?
Uzi umeeditiwanadhani hujamuelewa.. ameuliza baada ya kupata mimba utendaji kazi wake dukani utakuwa na ufanisi? wadada/mama humu mpeni jibu
Hili nalo nenoUsimfukuze, kwasababu kabeba ujauzito. Mfukuze kwasababu hesabu haitimii boss.
Nami nimemuuliza mtu akijiriwa hastahili haki ya sex?
Huyo sio binti Tena,NI mama.Binti alifika dukani mwezi wa kwanza mwaka huu, Ni binti ambae sijawahi kuwa na tatizo nae kasoro hivi karibuni
Siku ya ambayo duka halifunguliwi / mapumziko huwa ni Jumapili lakini kwa sasa hali imebadilika, Kwa takribani wiki 5 mfululizo zilizopita ni lazima siku moja wapo kati ya Jumatatu hadi Ijumaa hafungui duka mara aniambie kichwa kinauma, msiba, homa, usafiri, n.k. ila kuna taarifa nikapata huwa anaenda kliniki, mimba iliyoanza kuonekana kwa mbali imethibitisha hii taarifa.
Tatizo sio mimba bali ni kutofungua duka siku ambazo sio za mapumziko anaenda clinic ama kutokuja kwa sababu zengine ambazo zinahusiana na hio mimba.
Binafsi nina kazi nyingine huwa namuachia duka, baadhi ya siku za jioni naenda kuhesabu mzigo na kukagua hesabu, hivyo akiwa hayupo duka linafungwa.
Sasa nawauliza,
Je, Kiuhalisia binti wa dukani anaweza kuendelea na kazi zake bila kushuka uwezo wake wala mambo yake binafsi kuingilia mambo ya ofisi akiwa na mimba?
MABINTI WAKIPEWA SEHEMU YA KULA, KULALA NA KUVAA.
WANAONA MAISHA NI RAHIS SANA, NA WANAONA KILA MWANUME ANAMAPENZI YA KWELI KWAKE.
NA UKIMSHAURI, HAMTAELEWANA. ATAONA KUNAMZIBIA FURSA.
AKIPEWA MINBA HIVYO, HALAFU MWAMBIE AKAISHI KWA HUYO MWENZIE KWA WIKI MOJA TU ANACHOKA.
NA KURUDI KWAKO ANAOGOPA KWANI MENGI ULIISHA MWELEZA.
KUKWEPA MZIGO WA MIMBA, ATASHAURIWA NA MWENZIE AENDE KUJIFUNGUA KWAO, KIJIJINI!.
MTOTO ANAKUWA NI MZIGO WA MAMA, BIBI, WAJOMBA, NK.
NDIO HAWA WA "ALINIPA MIMBA, AKANITELEKEZA" ! WANAUME WOTE MBWA!
Hajalalamikia mimba, kalalamika kuhusu wingi wa visingizio katikati ya week na kufunga duka.Kazi yako haihitaji mtu apate mimba?
Hajalalamikia mimba, kalalamika kuhusu wingi wa visingizio katikati ya week na kufunga duka.
Hujaelewa nini?
Uzi ume editiwa, mwanzoni alistahili majibu hayonadhani hujamuelewa.. ameuliza baada ya kupata mimba utendaji kazi wake dukani utakuwa na ufanisi? wadada/mama humu mpeni jibu
Hivi kwanini watu wanakuwa na mawazo ya kijinga kama haya? Kwa mfanyabiashara, kutofungua duka kwa siku Moja ni hasara kubwa. Mbaya zaidi sababu ziwe za kijinga inauma. Sijaona popote huyu jamaa akilalamika kuhusu kutokuwa muhusika wa hiyo mimba. Kwanini imuume ? Kwaza huwezi kuwa na Binti wa dukani ukamgeuza mpenzi. Ni ujinga wa hali ya juu mno. Kwanini watu mnawaza kuwa anaumia kwakuwa hajatia yeye mimba?Kinachokuuma ni vile tu mimba sio yako!
Nadhani hujawahi kufanya biashara au kuwa serious na biashara, kwa biashara hata lisaa limoja kuchelewa kufungua naweza kukufukuza kazi.Hivi kwanini watu wanakuwa na mawazo ya kijinga kama haya? Kwa mfanyabiashara, kutofungua duka kwa siku Moja ni hasara kubwa. Mbaya zaidi sababu ziwe za kijinga inauma. Sijaona popote huyu jamaa akilalamika kuhusu kutokuwa muhusika wa hiyo mimba. Kwanini imuume ? Kwaza huwezi kuwa na Binti wa dukani ukamgeuza mpenzi. Ni ujinga wa hali ya juu mno. Kwanini watu mnawaza kuwa anaumia kwakuwa hajatia yeye mimba?
Mimi ni mfanyabiashara,ndio maana nawashangaa wanaodai jamaa anaumia kwakuwa hajatia yeye mimbaNadhani hujawahi kufanya biashara au kuwa serious na biashara, kwa biashara hata lisaa limoja kuchelewa kufungua naweza kukufukuza kazi.