sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Binti alifika dukani mwezi wa kwanza mwaka huu, Ni binti ambae sijawahi kuwa na tatizo nae kasoro hivi karibuni
Siku ya ambayo duka halifunguliwi / mapumziko huwa ni Jumapili lakini kwa sasa hali imebadilika, Kwa takribani wiki 5 mfululizo zilizopita ni lazima siku moja wapo kati ya Jumatatu hadi Ijumaa hafungui duka mara aniambie kichwa kinauma, msiba, homa, usafiri, n.k. ila kuna taarifa nikapata huwa anaenda kliniki, mimba iliyoanza kuonekana kwa mbali imethibitisha hii taarifa.
Tatizo sio mimba bali ni kutofungua duka siku ambazo sio za mapumziko anaenda clinic ama kutokuja kwa sababu zengine ambazo zinahusiana na hio mimba.
Binafsi nina kazi nyingine huwa namuachia duka, baadhi ya siku za jioni naenda kuhesabu mzigo na kukagua hesabu, hivyo akiwa hayupo duka linafungwa.
Sasa nawauliza,
Je, Kiuhalisia binti wa dukani anaweza kuendelea na kazi zake bila kushuka uwezo wake wala mambo yake binafsi kuingilia mambo ya ofisi akiwa na mimba?
Siku ya ambayo duka halifunguliwi / mapumziko huwa ni Jumapili lakini kwa sasa hali imebadilika, Kwa takribani wiki 5 mfululizo zilizopita ni lazima siku moja wapo kati ya Jumatatu hadi Ijumaa hafungui duka mara aniambie kichwa kinauma, msiba, homa, usafiri, n.k. ila kuna taarifa nikapata huwa anaenda kliniki, mimba iliyoanza kuonekana kwa mbali imethibitisha hii taarifa.
Tatizo sio mimba bali ni kutofungua duka siku ambazo sio za mapumziko anaenda clinic ama kutokuja kwa sababu zengine ambazo zinahusiana na hio mimba.
Binafsi nina kazi nyingine huwa namuachia duka, baadhi ya siku za jioni naenda kuhesabu mzigo na kukagua hesabu, hivyo akiwa hayupo duka linafungwa.
Sasa nawauliza,
Je, Kiuhalisia binti wa dukani anaweza kuendelea na kazi zake bila kushuka uwezo wake wala mambo yake binafsi kuingilia mambo ya ofisi akiwa na mimba?