DolphinT
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 2,370
- 3,467
Una Proof? Na wewe kwa maneno yako "Safi Sana" huoni Kama umechekelea kifo Cha Membe ilihali na wewe Ni Expected Dead? Serious ungekaa kimya ingetosha au ungesema si vyema kufurahia msiba wa mtu! Ila hapa umeshindwa kujitofautisha hata kidogo
Safi sana,alichekelea kifo cha mpendwa wetu Magufuli.