Sijasema uwe na akili kama zangu, na huko nyuma tulipokuwa tukijadili maswala ya nchi yetu tukitofautiana sikukutaka uwe 'kalamu'; ila sasa ni wazi wewe ni mmoja wa watu hatari, adui mkubwa wa nchi yetu. Kwa watu wa aina hiyo sina mipaka ya kuwananga.Hatuwezi wote kuwa na akili kama ya kwako kwa vile mimi siyo Kalamu bali ni Stuxnet.
Hii ni nchi huru ambayo Katiba yake inatambua uhuru wa maoni na pia JF ni Jukwaa huru. Sina haja ya ku comment kukuridhisha wewe kwa kuwa mimi ni independent person siyo bendera fuata upepo.
"Hii ni nchi huru"? Uhuru upo wapi wakati mnatupeleka kuwa kama mifugo yenu.
Lugha za kipuuzi za aina hii ndizo mumebaki nazo, mkiziimba kana kwamba mnaimbia watu wasiokuwa na akili za kufikiri.
Katiba ipi mnaiheshimu, iwapo hata kuruhusu waTanzania wapige kura kuwachagua viongozi wanaowataka hamtaki. Halafu unakuja kusema hapa hii ni nchi huru?
Sitaki ukomenti kuniridhisha mimi. Ninapokupinga ni kukuonyesha kuwa huna tofauti na mizoga mingine iliyomo humu. JF.