BAWACHA yamtaka Polepole amtaje aliyempiga Lissu risasi

BAWACHA yamtaka Polepole amtaje aliyempiga Lissu risasi

Slow slow yupo makini sana katika kulipua mabomu yake, Upande wa Jiwez hataugusa sana maana huko ndiko alikopewa shavu.

Kila mtu ana boss wake bwana......Bawacha waachane na hayo. Wapambane kiongozi wao awe huru kwanza 😂 😂 😂

Slow amepiga ngumi za chembe kadhaa...
 
Wapumbavu ni wale wanaomuunga mkono Polepole ambaye alikuwa kwenye top 5 ya Magufuli iliyoharibu demokrasia ya vyama vingi, iliyobana uhuru wa maoni, iliyoleta Bunge kibogoyo etc.

Angeanza kwa mpangilio. Atueleze waliopanga na kumshambulia Tundu Lissu, kisha aje na namna walivyomkamata Ben Saanane na kumuua na walikomzika. Angeendeleza na walivyo mteka MoDewji na @Roma_Mkatoliki. Baada ya hayo na mengine mengi ndiyo angekuja sasa na awamu ya Samia
Na wewe tueleze kwanza jinsi ulivyoanza ushoga hadi leo unafilwa. Naona nyege za matakoni zimekuzidi.
 
Ameomba msamaha kwa kuyasema yote mabaya waliofanya?, Hivi ndugu wa akina Ben saa 8, Rwanda na wengineo wanamuelewa?, baada ya kupambania Tanzania kama nchi, anapambania CCM yake iliyojaa uozo miaka dahali...
Dawa ya uovu ni kulipa hayo maovu aliyoyatenda.
Malipo ni akili makosa yake,afungwe bila huruma miaka 40,ndio aje atoe ngonjela zake.
Hapo tunaweza kumsamehe akisha tumikia kifungo na kazi ngumu kwa miaka 40
 
Mbona Hilo kasema muda mrefu.kasema aliyempiga risasi ni msaidizi mkuu wa JPM wa kipindi hicho.Na msaidizi mkuu anajulikana na Kwa Sasa ana nafasi ya juu kabisa
 
Kwani hao BAWACHA hawamjui?

Au hayo majina ya watu mlikuwa mnatajataja tu kama wehu hiyo 2017!!
 
Kwani na aliyemuua Mzee Mohamed Ki... Ametajwa? Wanatakiwa wengi watajwe na waliomuua Ben, Mdude
Huko kote tutafika , Bro huyu jamaa Polepole na wenzake wamejipanga siyo kitoto .

Huu mwaka kwa mara ya kwanza tutashihudia akigoma kwenda kufanya campaign nyie tulieni .

Hivi unadhani akatajwa aliyemuua Mdude na aliyewatuma na ushahidi wote ukawekwa hadharani Sa100 atathubutu kutia mguu Mbeya?

Hivi unadhani akatajwa aliyetoa oda ya kifo cha Mzee Ally Kibao na akaambatanisha na ushahidi usiyo na shaka unadhani campaign Tanga zitafanyika ?

Ngoma bado mbichi sana hii bro
 
Mbona unakuja personal ndugu! Mimi nimeleta tu ujumbe wa BAWACHA. Tujikite hapo
Tactics za kijinga unazotumia ku'deflect' mijadala inayomhusu Samia sasa imejulikana wazi. Huna tofauti yoyote na hao wengine; akina Tlaatlaah ambao kazi zao zilijulikana mapema. Wewe uliweza kujificha, lakini sasa umejiweka wazi zaidi.
Kwa hiyo huna hoja za kujadili.
Huwa sina tabia za kinafiki, ni lazima nieleze kinachoonekana; hasa kuhusu maswala mazito ya nchi yetu ambayo mmepania kuifanya kuwa jalala la kufanyia uchafu.
 
Back
Top Bottom