Bashite marehemu Le mutuz ni mojawapo wa wasuka njama na watekelezaji wa shambulio la LisuManadhi ndio mtatutoa kwenye reli kwa kututajia habari za Lisu? Kila siku tumekuwa tukisema Magufuli ndio aliagiza Lisu apigwe risasi, na Magufuli alifanya uchafu mwingi sana. Ila huyo Magufuli naye ameuwawa na utawala wa sasa pamoja na genge lake la wanamtandao. Mnadhani tukiamini asemayo Polepole sasa ndio tunamuona Magufuli alikuwa mzuri? Ni kipi kimebadilika sasa chini ya utawala huu ukifananisha na wa Magufuli?