BAWACHA yamtaka Polepole amtaje aliyempiga Lissu risasi

BAWACHA yamtaka Polepole amtaje aliyempiga Lissu risasi

Tunataka alitolee tamko tu kwa kuwa yeye alikuwa ndiye mmoja wa top operative wa team Magufuli pamoja na Makonda
Samia Suluhu Hassan si unaye hapo kila siku; hata siku moja hujawahi kumuuliza akufahamishe ilivyokuwa?
Acha Polepole atufahamishe anayo yafahamu vizuri yeye.
Huyo mama wa CHADEMA uliye mweka hapo naye ni mtu kutoka huko kwenu kama yule Makamu Mwenyekiti mwenye kesi mahakamani?
Hata aibu hamna kabisa nyinyi watu?
 
Samia Suluhu Hassan si unaye hapo kila siku; hata siku moja hujawahi kumuuliza akufahamishe ilivyokuwa?
Acha Polepole atufahamishe anayo yafahamu vizuri yeye.
Huyo mama wa CHADEMA uliye mweka hapo naye ni mtu kutoka huko kwenu kama yule Makamu Mwenyekiti mwenye kesi mahakamani?
Hata aibu hamna kabisa nyinyi watu?
Mtachanganyikiwa sana mwaka huu.
 
mbona unashobokea wanaume wenzako kiasi hichi
Screenshot_20250528_101647_Google.jpg
 
Naona ameamua kuzunguka Mbuyu Ila watanzania Wanamsubiri kwa hamu Sana , amtaje aliyehusika na kupigwa risasi kwa Lissu.
Na huyo ndiyo chanzo cha yote haya tunayoyalalamikia kuhusu Reforms. Na aliyeharibu demokrasia na kutufikisha hapa pa NRNE ni nani? Aliyeharibu Mahakama zetu ni nani? Aliyetisha vyombo vya habari ni nani? Aliyeiba uchaguzi wa 2019 na wa 2020 wote ni nani?

Aliyeanza kuteka na kuua wakosoaji
 
Na huyo ndiyo chanzo cha yote haya tunayoyalalamikia kuhusu Reforms. Na aliyeharibu demokrasia na kutufikisha hapa pa NRNE ni nani? Aliyeharibu Mahakama zetu ni nani? Aliyetisha vyombo vya habari ni nani? Aliyeiba uchaguzi wa 2019 na wa 2020 wote ni nani?

Aliyeanza kuteka na kuua wakosoaji
Chadema ndo maana wanaitwa Nyumbu mkuu wao wabakuambia huyu ndo mkombozi wao.
 
Na huyo ndiyo chanzo cha yote haya tunayoyalalamikia kuhusu Reforms. Na aliyeharibu demokrasia na kutufikisha hapa pa NRNE ni nani? Aliyeharibu Mahakama zetu ni nani? Aliyetisha vyombo vya habari ni nani? Aliyeiba uchaguzi wa 2019 na wa 2020 wote ni nani?

Aliyeanza kuteka na kuua wakosoaji
Chadema ndo maana wanaitwa Nyumbu mkuu wao wabakuambia huyu ndo mkombozi wao.
Manadhi ndio mtatutoa kwenye reli kwa kututajia habari za Lisu? Kila siku tumekuwa tukisema Magufuli ndio aliagiza Lisu apigwe risasi, na Magufuli alifanya uchafu mwingi sana. Ila huyo Magufuli naye ameuwawa na utawala wa sasa pamoja na genge lake la wanamtandao. Mnadhani tukiamini asemayo Polepole sasa ndio tunamuona Magufuli alikuwa mzuri? Ni kipi kimebadilika sasa chini ya utawala huu ukifananisha na wa Magufuli?
 
Manadhi ndio mtatutoa kwenye reli kwa kututajia habari za Lisu? Kila siku tumekuwa tukisema Magufuli ndio aliagiza Lisu apigwe risasi, na Magufuli alifanya uchafu mwingi sana. Ila huyo Magufuli naye ameuwawa na utawala wa sasa pamoja na genge lake la wanamtandao. Mnadhani tukiamini asemayo Polepole sasa ndio tunamuona Magufuli alikuwa mzuri? Ni kipi kimebadilika sasa chini ya utawala huu ukifananisha na wa Magufuli?
Nyie ndo maana mnaitwa Nyumbu hamtumii Akili kufikiri
 
Manadhi ndio mtatutoa kwenye reli kwa kututajia habari za Lisu? Kila siku tumekuwa tukisema Magufuli ndio aliagiza Lisu apigwe risasi, na Magufuli alifanya uchafu mwingi sana. Ila huyo Magufuli naye ameuwawa na utawala wa sasa pamoja na genge lake la wanamtandao. Mnadhani tukiamini asemayo Polepole sasa ndio tunamuona Magufuli alikuwa mzuri? Ni kipi kimebadilika sasa chini ya utawala huu ukifananisha na wa Magufuli?
Kama huwezi kuona tofauti ya utawala huu dhidi ya utawala wa Magufuli basi una matatizo ya upofu, na upofu hauna dawa. Sanasana utapewa fimbo nyeupe ikusaidie
 
Back
Top Bottom