hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Hili suala halina ugumu wowote ila kama yeye atamlinda Ndugai kwkw wote ni CCM. Na CCM ndiyo iliwapa zawadi hao covid-19.
Kikatiba wabunge wote pamoja na Ndugai mwenyewe wapo pale kutokana na uchaguzi mkuu wa 2020 uliokuwa wa mabavu. Mbaya zaidi ni kwamba SSH nae ni mnufaika wa mbinu zilizowaweka wenzake bungeni.
Hawezi kuwasaliti.
Tangu chadema imeanza kushiriki uchaguzi je ni lini uchaguzi haukuwa na mabavu?
Na mbona mlikuwa hamsusi?