Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,091
- 5,279
Na nusu ya Dar nĩ Indian oceanIn short, Dar ni mji Mdogo Sana kama 20km from CBD ndio kumeanza kupata makazi.
Na nusu ya Dar nĩ Indian oceanIn short, Dar ni mji Mdogo Sana kama 20km from CBD ndio kumeanza kupata makazi.
KM 6 kutoka CBD unakutana na gigantic slum. The most populated slum in our solar systemIn short, Dar ni mji Mdogo Sana kama 20km from CBD ndio kumeanza kupata makazi.
Ati Kiambu, Kenya nzima haina bus stand level kama hiyo! Ndo maana Teargass kakimbia!Sawa sie tuna mashamba ya mihogo.
Ila Dah!!
Hii ndio kituo cha mabasi cha Kiambu????!!!!!!!
Embu tizama picha ya pili kituo cha mabasi cha KIBAHA unachosema kuna mashamba ya mihogo.
Mashashola huwa ni jina la mbwa kwa lugha zote duniani. Kwanini ulichagua jina hilo? Unafugwa na mama Ngina? 🤣 🤣 🤣Na nusu ya Dar nĩ Indian ocean
the richest man huko Lamu anamiliki zizi la Punda!Yaani hadi usafiri wao wa Zero emission bado hawamudu? 😂 Hata kulisha majani usafiri ni kazi? 😂😂😂😂😂
View attachment 2889444
Wakunya wanaingiwa na kiwewe Cha mafanikio ya Tanzania.
View: https://www.instagram.com/p/C2M3O1cK-yJ/?igsh=cGUzZGtoZnMyZTlh
Medical Tourism👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C2Ng91CqZQ4/?igsh=MW1vOXY1bmFiamxheQ==
Kibao kinazidi kugeuka
Sasa wapi tunajishaua wakati Serikali inazidi kuwekeza sio tuu Kwa vifaa tiba Bali Kwa Wataalamu na miundombinu.medical tourism Wazambia wanapaswa waje JKCI! tuendelee kujishaua badala ya ku-strengthen our institutions!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂the richest man huko Lamu anamiliki zizi la Punda!
Medical Tourism taking shape 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C2b5Y5uKU2V/?igsh=OG5ic2FnanJsNmdq
Asa mie najiuliza Kenya ekonomiki pawa hausi ov Isti Afrika wako wapi??medical tourism Wazambia wanapaswa waje JKCI! tuendelee kujishaua badala ya ku-strengthen our institutions!
Sasa wapi tunajishaua wakati Serikali inazidi kuwekeza sio tuu Kwa vifaa tiba Bali Kwa Wataalamu na miundombinu.
Pili Tanzania tumepindua meza,Kwa Sasa Nchi yetu ndio medical Tourist Centre ya EAC.
View: https://www.instagram.com/p/C17LLe3tmeO/?igsh=ZXZncTg0dGF0ZXFx
Hospital 6 zilihudimai zaidi ya wagonjwa wa Nje 6,000 vs 5,000 wa Kunyaland.
View attachment 2889461
Waliokuja kupata tiba miongoni mwao ni Wakunya
Sasa wapi tunajishaua wakati Serikali inazidi kuwekeza sio tuu Kwa vifaa tiba Bali Kwa Wataalamu na miundombinu.
Pili Tanzania tumepindua meza,Kwa Sasa Nchi yetu ndio medical Tourist Centre ya EAC.
View: https://www.instagram.com/p/C17LLe3tmeO/?igsh=ZXZncTg0dGF0ZXFx
Hospital 6 zilihudimai zaidi ya wagonjwa wa Nje 6,000 vs 5,000 wa Kunyaland.
View attachment 2889461
Waliokuja kupata tiba miongoni mwao ni Wakunya
Kwa taarifa Yao tuuAsa mie najiuliza Kenya ekonomiki pawa hausi ov Isti Afrika wako wapi??
Na hii Hospitali kuu ya moyo ingekua kunyaland tusingepumua.
Mengine Chamazi inatarajiwa kujengwa.Kwa taarifa Yao tuu
-Muhimbili nyingine inajengwa Kigoma,Kwa Ajili ya DRC,Burundi na Rwanda.
-Udsm inajenga College pekee ya Afya Mbeya na Teaching Hospital Kwa Ajili ya Malawi,Zambia,DRC na Mozambique.
On top of that miundombinu ya MOI na Muhimbili Dar inazidi kuimarishwa
Serikali Haina haja ya kufungua JKCI Mbeya badala yake Ni kuiwesesha Hospital ya Rufaa ya Kanda Mbeya Kwa Utaalamu na vifaa tiba.sidhani kama tunachofanya ni sahihi wizara ingekuwa na mikakati ya kufungua another JKCI Mbeya kwa ajili ya Wagonjwa wa Zambia na si kupeleka madaktari wetu huko! Ni upuuzi! Thats my humble opinion!
Sio mwendo wa taratibu ni mwendo wa Kasi ya kuridhisha maana mpaka Sasa tumepindua meza kwenye mambo mengi ikiwemo Afya.Mengine Chamazi inatarajiwa kujengwa.
Najua mwendo wetu wa taratibu ila hawatatukuta hawa.
Katika afya,usafiri,elimu,chakula na maji Tanzania siidai kitu.Sio mwendo wa taratibu ni mwendo wa Kasi ya kuridhisha maana mpaka Sasa tumepindua meza kwenye mambo mengi ikiwemo Afya.