Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

South Africa ni sabotage inafanywa na Wazungu kwa muda mrefu sana kimkakati ili watu weusi waonekane hawawezi kuongoza. Sio umeme tu, pia, Wazungu wenye maghala makubwa ya kununulia vyuma chakavu, wamewalipa walalahoi wengi hasa wakati wa Lockdown kungoa mataruma ya reli, na yameng'olewa kisawa sawa pamoja na nyaya za umeme kwenye reli to a point hakuna tena treni toka Johannesburg to Pretoria ukiachia Gautrain.

Ni maswala ya kiintelegensia zaidi.
Aisee!
 
Sasa kwa nini viongozi wetu wasitumie hiyo opportunity kuleta viwanda kwa sababu political stability ya Tanzania ni rahisi kupata wawekezaji wawekeze kwenye production ya generator, agricultural tools na kufanya bulk importation of diesels / petrol. Maana tunaweza peleka EAC na SADCC ,

Yaani kuna potential sana kama wanavyofanya Dubai au Guangzhou Kama trade center

Itakua ma multiprier effect kubwa kama source of revenue (taxes) na employemnt kwa watu wengi
Kuleta viwanda? Kutoka wapi? Hakuna mjomba, inabidi tujenge wenyewe.
 
Wale wakunya hujifananisha na SA, angalia sandton palivyo, No proboxes on the roads, neither Jalopies
Hizi picha nimepiga mchana
IMG_5131.jpg

IMG_5130.jpg

IMG_5128.jpg

IMG_5126.jpg

IMG_5127.jpg

IMG_5110.jpg

IMG_5107.jpg

IMG_5105.jpg

IMG_5108.jpg
 
Kama wewe unayajua haya kwamba Serikali ya south Africa haiyajui? Kama hawana akili acha wanyolewe

Wacha kuropoka!

Mi siropoki ni maswala yanajulikana wazi. Kuropoka kutanisaidia nini kaka?
Ngoja nikupe tu hints, ila kuna mengi sana yanaendelea.

Tuesday 26 July 2022

SA's power stations | Ramaphosa says there's deliberate sabotage​

 
Wacha kuropoka!

Wewe unaongea sana sometimes na kutumia lugha za hovyo.

Nikuulize tu. Unajua kabla ya mandela ajastep down, aliwafuata Nyerere na Kaunda kuomba ushauri wa nani akabidhiwe mikoba kati ya Ramaphosa na Mbeki. Wote, Nyerere na Kaunda walimpa Mbeki kwakua Ramaphosa alikua akifanya kazi na SAPS na pia alikua mmbwa wa wazungu na ndio walimpa shares kibao za Migodi iliwazingue kwenye CODESA na inasemekana ndio waliopelekea Criss Hani kuuawa.

Hili linapigia sana kelele na mdogo wake Mbeki openly.

mambo ni mengi zaidi ya unavyofikiri, na pia, kama unajua nisiyoyajua yaweke tujuzane sio kusema naropoka.
 
Nimekwambia hvi kibera haiwezi kutoka kwenye orodha ya kua biggest slum in the world haiwezi na haitatoka na kwa mtu mwenye akili akiangalia hii picha ndio atajua uwepo wa binaadamu na nguruwe duniani
View attachment 2512815
ukiweka picha ya Kibra hakikisha umeupdate hio picha sio kutumia picha za 2005, the area you posted doesn't even exist currently. A very huge part of kibera has been demolished to pave the way for the Langata - Ngong Road dual bypass & the zone B social housing project. Wewe kibera inabadilika bado ukitumia picha za kitambo ati biggest slum.
images%20-%202023-02-12T022001.994.jpg
images%20-%202023-02-12T021729.282.jpg
images%20-%202023-02-12T021859.788.jpg
2m5w2yn.jpg
images%20-%202023-02-12T022044.168.jpg
download%20(14).jpg
download%20(15).jpg
download%20(16).jpg
images%20-%202023-02-12T023159.824.jpg
 
Mi siropoki ni maswala yanajulikana wazi. Kuropoka kutanisaidia nini kaka?
Ngoja nikupe tu hints, ila kuna mengi sana yanaendelea.

Tuesday 26 July 2022

SA's power stations | Ramaphosa says there's deliberate sabotage​


Mbona wam-sabotage wakati Ramaphosa ni darling of the West?
 

Yaani ukiangalia tu hakuna haja ya Kubisha , Sasa wenzetu wanatumia nguvu kulazimisha na hapaonekani hivyo. Hili sasa ndio jiji Standard. Hata kama kuna fuko la uchafu bado inaeleweka litabebwa muda si mrefu , ila zile taka za wakulungwa zinatengeneza hadi nlima
 
Mi siropoki ni maswala yanajulikana wazi. Kuropoka kutanisaidia nini kaka?
Ngoja nikupe tu hints, ila kuna mengi sana yanaendelea.

Tuesday 26 July 2022

SA's power stations | Ramaphosa says there's deliberate sabotage​


sasa the west wanahusika vp? kama sio wananchi wenyewe na vandalism na corruption ya wadau kwenye mashirika na serikalini?
 
Back
Top Bottom