game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,402
- 23,326
Hahahah, halafu hiyo ndio their main highway yaani .
Hiyo sasa ina afadhali, uje sasa kale kabarabara kanatoka lungalunga, ukunda hadi Mombasa, aisee hata kupishana ni kipengele, halafu unaambiwa ndio highway kuu ya county nzima ya kwale
Ajabu ukivuka tu upande wa horohoro unakutana na Mkeka wa maana hadi Tanga,
Wakati mimi December huwa nakamua chombo Dar to Mbeya Over 850km na mkeka uko hivi