Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,203
- 79,433
chief hapo hawatokiTunataka kuwachachafya wakenya siku hizi chache.
Hatua inayofuata ni:-
BARs, PUBs, NIGHT CLUBs AND LOUNGEs in Dar es salaam vs Lockdown city
Tutajie route za ndani ambazo hazina mabasi, yani ukiona basi linapiga route za nje kwako ndio linaingiza faida au ndio halina safari za ndaniNyie buses zenu ili zipate faida inabidi kuvuka boda, safari za ndani kwa ndani ni chache mno tofauti na sisi wenzenu tunasafiri mno ndani ya nchi, nyie kwenu ukabila unachangia kushindwa kuwa na safari nyingi ndani ya nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Km hutaki na pia vile vile hujui umuhimu wa shuttles we basi utasaidikaje katika huu ulimwengu..sasa unabishana vipi na wavivu wa fikra haujioni kuwa wewe ni mjinga
Umepanic sasa umeanza kuleta mabasi yaliyojifeaKama hii siyo
View attachment 1758241
Naona umeshachanganyikiwa tayariilo sufuria liloandikwa greenline ni model gani ya benzi?
maana nmeona vent ka za landrover109
nna zawadi yako hapa uknipa model ya hio gari mamie
Kinuko wako ka postiwa jamani we ngangania ku post vya wenyewe tu, wenzio wanatia mimba hkoMbona unaumia sana ndiyo picha yako hii!?View attachment 1758261
Hapa ukigusa lazima utoke na electricitySura kama Wanyama pwahahahahha!!!
View attachment 1758187
Hayo mabasi ya nchi gani
kwani swali hujaelewa?Naona umeshachanganyikiwa tayari
Unafijiria hilo body ni la kichina
hueleweki jipange upyaKm hutaki na pia vile vile hujui umuhimu wa shuttles we basi utasaidikaje katika huu ulimwengu..
Hata uweke coaster route moja na shuttle coaster halitoweza kuwahi faster katika hzo route za intercounties alafu mtu anakuja kuandika hapa ujinga akiongezea ujuaji mwingi
Uchumi wa kutegemea mafuta!Angola nn kinaendelea sinijuzi tu walikua hadi mbele ya Nyang'au? Sahv hadi tunawazidiView attachment 1758479