Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa anazidi kunawiri tu...najiuliza hawa hawatahujumu train za umeme kweli?Serikal isipokua imara izo train itakua majanga
Means of transportation Tz haijawahi kutosha hofu yao tu but treni zitajaa, ndege zitajaa, meli zitajaa, basi zitajaa, BRT zitajaa na bado zitagombaniwa cz tuko zaidi ya milioni 60 mzee so ni lazima utaratibu wa mstari uendelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Means of transportation Tz haijawahi kutosha hofu yao tu but treni zitajaa, ndege zitajaa, meli zitajaa, basi zitajaa, BRT zitajaa na bado zitagombaniwa cz tuko zaidi ya milioni 60 mzee so ni lazima utaratibu wa mstari uendelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa umetumia 1% ya akili mzee, matope kabisa yani..ingelikua biashara inaenda hvo basi we mzee kw fikra zako hzo ungelikua milionea
 
Nani tena huyo, imekuwaje.
Jamaa kaweka wazi kuhusu mipango ya vigogo wa CCM kutaka kumnyima uenyekiti Rais Samia, kachana sana wazi wazi bila kificho mzee, itafute you tube ujionee, kuna sehemu anakwambia kama hawataki basi wewe kubali ila waambie unatoa kinga ya rais alafu tuanze kuwamulika mipango yao haramu nchini humu, itafute mzee jamaa kaongea mengi mnooo, atari atari kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
komora096 🤣🤣🤣👇👇👇

F1A2EDC9-8CEE-4E13-AB55-A719F7C69087.jpeg
 
Afrika tuko nyuma sana yani nchi kama kenya iko top ten ya gdp na ndo inavyoonekana hali tete duh sijui tunaenda wap
Kweli kabisa just imagine nchi kama Kenya ipo mbele kwenye Gdp, Gdp sio kipimo sahihi cha maendeleo, Kenya ipo hovyo kupitiliza
 
Back
Top Bottom