Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,512
- 5,845
Oyaaa usilinganishe janah na vitu vya ajabu🙄Mombasa is like heaven 🙏
Oyaaa usilinganishe janah na vitu vya ajabu🙄Mombasa is like heaven 🙏
Kweli ni Jambo la kujivunia God bless my mother land 🇹🇿🇹🇿 proudly Tanzanian🙂!Ni aibu na fedheha karne hii njaa inapandiwa mlima, Kenya ni Taifa la hovyo kweli, kumbe mpaka kajiado watu hufa kwa njaa
Thank God for make me Tanzanian
Una khabari na unacho kizungumzia Dogo kama kuna country ambayo inasahau tamaduni Zake kwenye rate ya juu popote pale afrika ya mashariki ni Kenya tukianzia mavazi, vyakula vya kiasaili na ustaarabu ndo ilishawakimbiaga zamani Sana 🙂apart from Masai,turkana na wapokot na baadhi ya makabila pwani ya Kenya nitajie kabila lingine lenye kuzingatia tamaduni Zake Kenya?🙂nyie ndo mna mambo ya kizungu Sana 🙂Una mkuta binti mdogo Kenya hawezi hata kusonga ugali 🙂 kazi ni kupiga order,pizza Inn, Domino's,KFC, burger king Yani ikifikia swala la tamaduni mko kidigital sanaIt's true kwasababu ata ukisikia mahali popote kumetajwa maasai lazima uskie Ni kenya,wa uko TZ wanatupa culture zao ata ka si zote,Tanzania wanafaa kuweka maeneo ya kufunza watu wao culture ambazo walitupa,wasigeuke wote wakue waswahili,Makabila huko wanajitambuaga tu kijina Ila si kiutamaduni za kwao
Ni ghorofa sita. Wacha wivu dogo.Alafu kumbe hv vighorofa vyao vya GTC ni viwili vitatu tu ndo huwa wanapiga navyo kelele humu
Wacha ujinga. Tusikoseane heshima. Kumbuka nilishakublock once na naeza rudia tena. Mimi sina haja ya kubadilisha handles. Nina handle moja hapa JF full stop.Wewe unaongea nini Tony254?
Una matatizo ya akili? Huwezi kutaja Kenya bila njaa, utakua umekosea heshima, ninyi njaa ndio identity yenu number 1
Wacha Diamond akule mali yake polepole.Huyu Diamond anatengeneza migogoro tuu huko mbeleni.
Sawa Tony KuriaWacha ujinga. Tusikoseane heshima. Kumbuka nilishakublock once na naeza rudia tena. Mimi sina haja ya kubadilisha handles. Nina handle moja hapa JF full stop.
Kusafisha rungu siyo shida, tatizo hakai na watoto wake wakati uwezo anao. Wale wengine walio SA hakuwaona kwa miaka miwili, anajidanganya kudhani kutoa pesa ya matunzo ndiyo malezi. Haya mambo ya sisi wanaume kuwaachia wanawake jukumu la kuwaangalia watoto 24/7 linaharibu jamii zetu.Wacha Diamond akule mali yake polepole.
Alafu hizi zao lilianza kufa kule klm kahawa nyingi ziling'olewa mashambani...Ndio moja ya mazao yaliyowapa babu zetu utajiri na baba zetu kipindi kahawa iko kwenye mstari wake......