Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_5016.jpg

IMG_5017.jpg
 
Mombasa is really Heavenly Ndio maana kila article naona TZ wanataka kutunyakulianga City yetu Hehehe
 
Unataka kusema wamasai wa Kenya ndiyo wenye "culture"?
It's true kwasababu ata ukisikia mahali popote kumetajwa maasai lazima uskie Ni kenya,wa uko TZ wanatupa culture zao ata ka si zote,Tanzania wanafaa kuweka maeneo ya kufunza watu wao culture ambazo walitupa,wasigeuke wote wakue waswahili,Makabila huko wanajitambuaga tu kijina Ila si kiutamaduni za kwao
 
It's true kwasababu ata ukisikia mahali popote kumetajwa maasai lazima uskie Ni kenya,wa uko TZ wanatupa culture zao ata ka si zote,Tanzania wanafaa kuweka maeneo ya kufunza watu wao culture ambazo walitupa,wasigeuke wote wakue waswahili,Makabila huko wanajitambuaga ju kijina Ila si kiutamaduni za kwao
A typical uniformed Kenyan.
 
Waafrika wanafaa kufwatilia kabila za mababu zao ili wasiweze kukuwa utamaduniless,wasiyeyuke Kama chumvi kwa maji
 
Mimi si Tony alafu Kenya hakuna njaa walai uko Turkana mnasemanga wako na bunduki kuliko Askari wa daresalam nakwambia
acha usifananishe tena askari yeyote wa Tanzania na vitu vya ajabu ajabu. Tanzania ghala zaidi ya 42 za silaha zililipuka DAR na shughili zikaendelea kama kawaida. Hawa ndiyo wa kuwafananisha na poor turkanas in kenya? huu ni zaidi ya udhadhilishaji.
 
Back
Top Bottom