Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnatokwa hadi na makamasi kwa sababu mumeambiwa ukweli. Nyinyi hamna enough black pilots. Mpo nyuma sana.
Hayo ni mawazo yako tu🙂 na Sisi hatuna ubaguzi wowote ule as long weiye ni mtanzania na Una uwezo kufanya kitu flani maisha yanaenda 🙂
 
Serikali ya Kenya imenunua gari la Mobius. Tazama number plate.
This is good for the manufacturer.
EsRMpdAWMAMJLBS.jpeg


Geza Ulole Venus Star Chamoto The best 007
Naton Jr
 
Una khabari na unacho kizungumzia Dogo kama kuna country ambayo inasahau tamaduni Zake kwenye rate ya juu popote pale afrika ya mashariki ni Kenya tukianzia mavazi, vyakula vya kiasaili na ustaarabu ndo ilishawakimbiaga zamani Sana [emoji846]apart from Masai,turkana na wapokot na baadhi ya makabila pwani ya Kenya nitajie kabila lingine lenye kuzingatia tamaduni Zake Kenya?[emoji846]nyie ndo mna mambo ya kizungu Sana [emoji846]Una mkuta binti mdogo Kenya hawezi hata kusonga ugali [emoji846] kazi ni kupiga order,pizza Inn, Domino's,KFC, burger king Yani ikifikia swala la tamaduni mko kidigital sana
Hapa umekurupuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Rudi tena shule, tayari umeshaambiwa muacha mila ni mtumwa na nyie mkutupa mila zenu kusingizia umoja..
Kiswahili hakijakwambia utupe mila, eti mtu akiongea kikabila dar mnamuona mshamba..
Wapuuzi sana nyie...
Wanafiki km nyie duniani hakuna
 
hawa wawili ni Raia wa Tanzania japokuwa wana asili za Kiasia na Kiarabu! kwetu sie hatuna ubaguzi nyie tayari mna dynasty vs hustler way ahead kabla ya 2022!
Hehehee!!kwn kwetu ndio hakuna wakenya ambao wana asili za ki asia na ki arabu[emoji23][emoji23]
Watz elimu yenu mbovu ndio manake wale wenye hela watoto wanafaidi sana wanapoondokea elimu ya st kayumba..
Mwisho wanakuja kuwatambia kw kusingizia umoja
 
2675171_Screenshot_20210125-111202_Instagram.jpg


komora096, Tony254 huyu si mkenya kwa vile si mweusi sio? nyie ndo ujiangalie mliokuwa na ma-ceo wazungu na still kampuni inakufa!
Leo wamekua wakenya sio[emoji23][emoji23]
Sio nynyi hapa mnaotukejeli mkiona mhindi au mzungu kenya ana kampuni..
Leo mumetafuta post ya kq, wapi imesema ni pilot wao..
Ukiniletea nakubali tu, na sijakataa km hakuna ila ni wachache sana compare na kwenu..
Yani pilot na mwenzake wote wanakuaje wahindi bana
 
Back
Top Bottom