Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wananzengo hawamtaki "Maza" aiseee! Kura nyingine hiyo Kule X.

20240426_215212.jpg
 
Wananzengo hawamtaki "Maza" aiseee! Kura nyingine hiyo Kule X.

View attachment 2974896
Juzi kwenye ule uzi wa gazeti la mwananchi kuomba msamaha, kuna mtu alisema sababu ya mama Samia kupata 17% ni poll kuwa ya kiingereza. kama ingekuwa ya kiswahili ambapo raia wengi wa kawaida wangeshiriki basi angepata 2%. Naona jamaa utabiri wake uko kwenye margin of error.
 
Back
Top Bottom