Hii habari ya kufundisha kiswahili Majirani hawapendi Hahahaha
Idea nzuri sana, vitu vizito kama hiviAisee hapo pembeni walipopaacha nilikua najifikiria Kwa nini wasipige Pavements kwa ajili ya kutembea kumbe bwana ile barabara ya Selander bridge inapita hapo. Miti yote ile mikumbwa pembeni imekatwa yote kupisha ujenzi.
Sasa hapo waireplace na palm trees , Itakua safi sana .
Hii inanikumbusha kituo cha Mwenge miaka ya tisini
ππππππππ
kwa hii hali i swear africa nzima na dunia watakijua kiswahili naona south imeangalia future generation wameanza kwenye mzizi kabisa yaani mtoto akianzia chini ndiyo huelewa zaidi pia kadri anavyokuwa akiwa navutiyari basi kwake lugha ya kiswahili inakuwa easy