Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuna ubunifu wakati mijengo zenu zinachorwa na kujengwa na wakenya. Jiangalie!
jengo ngapi....?.....na kama mna ubunifu why hizo jengo mnazojenga ni copy n paste ubunifu upo wapi hapo...

hebu wacha akili za pombe unajikojolea mazee
 
Majengo yao Ndio wanajengewa, Kila kitu , Chinese wamewajengea kila kitu . Hata Tower zao zote . Bora sisi huku Estim ( Local Company) inajenga Tower zetu wenyewe (Tower za Wa tanzania) PSPF zote, PPF HQ, TPA, Morroco Square, Umoja wa Vijana Etc.

Sasa Architect mwenye Office Dar kuchora TPA Miaka kadhaa iliyopita Eti Ndio Tower zetu zote wametuchorea na kutujengea, Wamejenga nini kwa watu wakati wenyewe wanajengewa. What a loss
hana akili huyo jamaa
 
BRT lanes coming up nicely
1108059

1108063

1108065


hii kitu ikimalizika si itakuwa tamu
1108068
 
just wait,,by the end of the year utaona venye itatokea,ndio utaamini BRT is in Nairobi
https://www.the-star.co.ke/news/2019-05-10-exclusive-how-nairobi-brt-buses-look/
http://dailyactive.info/2019/05/13/see-exclusive-photos-of-long-awaited-nairobi-brt-buses/
inaelekea mko fasta sana maana kama mnaweza kwenda kunasa picha za mabasi yanapotokea na huku macharia anasema ndio mnaplan.

Wenzio tupo second phase ambayo itakua na two flyovers huku tukiendelea na feasibility ya third phase
 
Back
Top Bottom