Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
jengo ngapi....?.....na kama mna ubunifu why hizo jengo mnazojenga ni copy n paste ubunifu upo wapi hapo...Hatuna ubunifu wakati mijengo zenu zinachorwa na kujengwa na wakenya. Jiangalie!



hebu wacha akili za pombe unajikojolea mazee


, Chinese wamewajengea kila kitu . Hata Tower zao zote . Bora sisi huku Estim ( Local Company) inajenga Tower zetu wenyewe (Tower za Wa tanzania) PSPF zote, PPF HQ, TPA, Morroco Square, Umoja wa Vijana Etc.