Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

but yetu,iko far far better,modern and bigger than yours

Subiri wanaume wakuletee full design ya phase II ndo useme hivyo. Na unachotakiwa kujua ni kuwa ubora wa BRT moja over nyingine unakua kwenye stations, sasa jiulize tangu lini mkawa na stations nzuri kushinda DSM. Kwa bus stations tu meshakuja na render kibao ila mpaka sasa hamuwezi kuthubutu kucompare na hata stations za vijiji vya mikoa.

Cheki kiyu on progress budaa:
https://constructionreviewonline.com/2019/02/tanzania-set-to-commence-phase2-of-bus-rapid-transit/
 
Subiri wanaume wakuletee full design ya phase II ndo useme hivyo. Na unachotakiwa kujua ni kuwa ubora wa BRT moja over nyingine unakua kwenye stations, sasa jiulize tangu lini mkawa na stations nzuri kushinda DSM. Kwa bus stations tu meshakuja na render kibao ila mpaka sasa hamuwezi kuthubutu kucompare na hata stations za vijiji vya mikoa.

Cheki kiyu on progress budaa:
https://constructionreviewonline.com/2019/02/tanzania-set-to-commence-phase2-of-bus-rapid-transit/
hapa ni Thika Road jamani
1108165
 
Aisee hapo pembeni walipopaacha nilikua najifikiria Kwa nini wasipige Pavements kwa ajili ya kutembea kumbe bwana ile barabara ya Selander bridge inapita hapo. Miti yote ile mikumbwa pembeni imekatwa yote kupisha ujenzi.
Sasa hapo waireplace na palm trees , Itakua safi sana .
Lazma wapande miti kwasababu ya kuzuia mmomonyoko wa udongo
 
Back
Top Bottom