Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi ni miongoni wa wahanga wa JPM,japokuwa nilimchagua ..lakini alikuja kunitumbua kwenye idara moja hivi(jina kapuni) ,ki ukweli niliingia kimagumashi ,aiseee nilimchukia sana JPM lakini siku kashaa nikaja kumuelewa vibaya mno,na mimi nikiri tu wazi magufuli kama yangekuwa mamlaka yangu huyu jamaa alipaswa awe xi jinping wa Tanzania...
Kwa bahati nzuri huna hayo mamlaka tunashukuru Mungu kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom