Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Viwanja vyote vya CCM si rahisi kukarabatiwa, dar viwanja vyake ni vya serikali ndio maana vinakarabatiwa, CCM sidhani kama wana pesa ya kukarabati viwanja na serikali haiwezi tenga pesa kukarabati viwanja vya Chama.
Hapa ni either Chama kiachie viwanja kitu ambacho si rahisi au TFF ama mikoa husika wavinunue hivi viwanja Toka CCM ili serikali ivihudumie, mfano pale mza ni rahisi kujenga uwanja mpya kuliko kukarabati CCM kirumba zogo lake halitapata suluhisha.
Ila Na serikali inavitemea sana hivyo viwanjwa
Kwenye Maonyesho,Siku zakitaifa,Mwenge Nk
Kuviboresha kutasaidia japo ningumu
 
Viwanja vyote vya CCM si rahisi kukarabatiwa, dar viwanja vyake ni vya serikali ndio maana vinakarabatiwa, CCM sidhani kama wana pesa ya kukarabati viwanja na serikali haiwezi tenga pesa kukarabati viwanja vya Chama.
Hapa ni either Chama kiachie viwanja kitu ambacho si rahisi au TFF ama mikoa husika wavinunue hivi viwanja Toka CCM ili serikali ivihudumie, mfano pale mza ni rahisi kujenga uwanja mpya kuliko kukarabati CCM kirumba zogo lake halitapata suluhisha.
Ccm na wao naona hawana mpango waku vi upgrade hadi TFF wawambie hali mbaya ..myb tukibid kuhost AFcOn wanaweza kubali ku repaire

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikulipe
Screenshot_20200512-195023_1589626556808.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha ulifaa kuwa mganga nimecheka sana.
Ila tuzidi kumuomba Mungu angalau akiondoka tupate atakaye fanya kama yeye.
Muda wa kujitathmini WaTz ndio huu, ukweli ni kwamba hakuna kiongozi wa kufanya haya baada ya Jiwe kwa miaka mingi ijayo, binafsi cjamchagua JPM 2015 niwe mkweli na hapa Mwenyezi ananiona cjamchagua kabisa kutokana na yaliyokuwa yanaendelea nchi hii kipindi kile cha JK, lkn miaka miwili tu ilitosha kumuelewa JPM, ckuwa na imani naye na hata kampeni zake ckuwa nasikiliza kabisa yn nilichoshwa na uongozi uliopita, nakumbuka speech ya JPM aliyoitoa bungeni kwa kiasi fulani ilianza kubadili fikra zangu juu yake na kiukweli speech ile ckutaka hata kuisikiliza, lkn ilinikuta ktk mazingira ambayo ilikuwa lazima niisikilize so tng pale nikampa muda, basi tng hapo hajawahi kuniangusha mpk hii leo, maana kuna baadhi ya mambo akawa km anayetaka kuniboa ila mwishowe nakuja kugundua alikuwa right, ss ombi langu kwa WaTz ni kwamba watu km hawa hawapatikani mara zote hasa kwa nchi zilizojaa viongozi walafi km za Afrika, ni wakati wa kujitathmini na kuchukua hatua mapema, wenzetu China waliliona hili na wakafanya maamuzi magumu, tusijichanganye eti kisa katiba ambayo tunaoamua iweje ni sisi wenyewe, tusiiogope katiba tukaja kujutia kwa miaka mingi ijayo, km mtu ameshajipambanua ni wa aina gani basi tumpe muda mpk tutakapoona inatosha aje mwingine, na co miaka 10 cz haitoshi, ww angalia miaka 5 tu kafanya mambo yaliyoshindwa kufanywa kwa miaka karibia 50 iliyopita, so nchi ni yetu, katiba ni yetu, tufanye uamuzi.
 
Muda wa kujitathmini WaTz ndio huu, ukweli ni kwamba hakuna kiongozi wa kufanya haya baada ya Jiwe kwa miaka mingi ijayo, binafsi cjamchagua JPM 2015 niwe mkweli na hapa Mwenyezi ananiona cjamchagua kabisa kutokana na yaliyokuwa yanaendelea nchi hii kipindi kile cha JK, lkn miaka miwili tu ilitosha kumuelewa JPM, ckuwa na imani naye na hata kampeni zake ckuwa nasikiliza kabisa yn nilichoshwa na uongozi uliopita, nakumbuka speech ya JPM aliyoitoa bungeni kwa kiasi fulani ilianza kubadili fikra zangu juu yake na kiukweli speech ile ckutaka hata kuisikiliza, lkn ilinikuta ktk mazingira ambayo ilikuwa lazima niisikilize so tng pale nikampa muda, basi tng hapo hajawahi kuniangusha mpk hii leo, maana kuna baadhi ya mambo akawa km anayetaka kuniboa ila mwishowe nakuja kugundua alikuwa right, ss ombi langu kwa WaTz ni kwamba watu km hawa hawapatikani mara zote hasa kwa nchi zilizojaa viongozi walafi km za Afrika, ni wakati wa kujitathmini na kuchukua hatua mapema, wenzetu China waliliona hili na wakafanya maamuzi magumu, tusijichanganye eti kisa katiba ambayo tunaoamua iweje ni sisi wenyewe, tusiiogope katiba tukaja kujutia kwa miaka mingi ijayo, km mtu ameshajipambanua ni wa aina gani basi tumpe muda mpk tutakapoona inatosha aje mwingine, na co miaka 10 cz haitoshi, ww angalia miaka 5 tu kafanya mambo yaliyoshindwa kufanywa kwa miaka karibia 50 iliyopita, so nchi ni yetu, katiba ni yetu, tufanye uamuzi.
Mimi ni miongoni wa wahanga wa JPM,japokuwa nilimchagua ..lakini alikuja kunitumbua kwenye idara moja hivi(jina kapuni) ,ki ukweli niliingia kimagumashi ,aiseee nilimchukia sana JPM lakini siku kashaa nikaja kumuelewa vibaya mno,na mimi nikiri tu wazi magufuli kama yangekuwa mamlaka yangu huyu jamaa alipaswa awe xi jinping wa Tanzania...
 
Muda wa kujitathmini WaTz ndio huu, ukweli ni kwamba hakuna kiongozi wa kufanya haya baada ya Jiwe kwa miaka mingi ijayo, binafsi cjamchagua JPM 2015 niwe mkweli na hapa Mwenyezi ananiona cjamchagua kabisa kutokana na yaliyokuwa yanaendelea nchi hii kipindi kile cha JK, lkn miaka miwili tu ilitosha kumuelewa JPM, ckuwa na imani naye na hata kampeni zake ckuwa nasikiliza kabisa yn nilichoshwa na uongozi uliopita, nakumbuka speech ya JPM aliyoitoa bungeni kwa kiasi fulani ilianza kubadili fikra zangu juu yake na kiukweli speech ile ckutaka hata kuisikiliza, lkn ilinikuta ktk mazingira ambayo ilikuwa lazima niisikilize so tng pale nikampa muda, basi tng hapo hajawahi kuniangusha mpk hii leo, maana kuna baadhi ya mambo akawa km anayetaka kuniboa ila mwishowe nakuja kugundua alikuwa right, ss ombi langu kwa WaTz ni kwamba watu km hawa hawapatikani mara zote hasa kwa nchi zilizojaa viongozi walafi km za Afrika, ni wakati wa kujitathmini na kuchukua hatua mapema, wenzetu China waliliona hili na wakafanya maamuzi magumu, tusijichanganye eti kisa katiba ambayo tunaoamua iweje ni sisi wenyewe, tusiiogope katiba tukaja kujutia kwa miaka mingi ijayo, km mtu ameshajipambanua ni wa aina gani basi tumpe muda mpk tutakapoona inatosha aje mwingine, na co miaka 10 cz haitoshi, ww angalia miaka 5 tu kafanya mambo yaliyoshindwa kufanywa kwa miaka karibia 50 iliyopita, so nchi ni yetu, katiba ni yetu, tufanye uamuzi.
Kitu pekee anachoweza kutusaidia Ni kutuonyesha njia ,miaka kumi ijayo atakua amechoka tunahitaji kubadilika sana hatuwezi kumchosha Kwakua sisi hatujui lakufanya...

Kwa mambo aliyoyafanya hata mtu mjinga kiasi gani lazima ameshajua tulikua tunakosea wap ...Mimi nadhan iweke misingi ili anapokuja mtu wakutaka kuiharibu kabla hajaweza tumuharibu yeye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni miongoni wa wahanga wa JPM,japokuwa nilimchagua ..lakini alikuja kunitumbua kwenye idara moja hivi(jina kapuni) ,ki ukweli niliingia kimagumashi ,aiseee nilimchukia sana JPM lakini siku kashaa nikaja kumuelewa vibaya mno,na mimi nikiri tu wazi magufuli kama yangekuwa mamlaka yangu huyu jamaa alipaswa awe xi jinping wa Tanzania...
Ulikuwa jipu mzee baba 😷😂😂😂
 
Kitu pekee anachoweza kutusaidia Ni kutuonyesha njia ,miaka kumi ijayo atakua amechoka tunahitaji kubadilika sana hatuwezi kumchosha Kwakua sisi hatujui lakufanya...

Kwa mambo aliyoyafanya hata mtu mjinga kiasi gani lazima ameshajua tulikua tunakosea wap ...Mimi nadhan iweke misingi ili anapokuja mtu wakutaka kuiharibu kabla hajaweza tumuharibu yeye

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo manaake tuombe Jpm atuachie katiba itakayombana raisi ajaye, co hii inayompa madaraka ya kuamua anachotaka
 
Mimi ni miongoni wa wahanga wa JPM,japokuwa nilimchagua ..lakini alikuja kunitumbua kwenye idara moja hivi(jina kapuni) ,ki ukweli niliingia kimagumashi ,aiseee nilimchukia sana JPM lakini siku kashaa nikaja kumuelewa vibaya mno,na mimi nikiri tu wazi magufuli kama yangekuwa mamlaka yangu huyu jamaa alipaswa awe xi jinping wa Tanzania...
Well spoken mkuu, hawa wengine wanamchukia Jpm ima kwa kupewa maneno ya kuambiwa ima jamaa zao walitumbuliwa, ss km walitumbuliwa na ilikuwa sahihi unamchukia aliyefanya hivyo kwnn? Huo ndiyo ubinafsi wa waafrika.
 
Back
Top Bottom