ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
mabeberu ni mabwana zenu 😂😂😂
mabeberu ni mabwana zenu 😂😂😂
enhe vp habari unayo😂😂👇👇
Bullet train za kituko walai, yani hvyo vichwa vya abiria kw hyo render km vya kenya tu..kwanza mataaTunataka kilio chenu wakenya kuhusu maendeleo ya tz kiende hadi Asia na ulaya nao waanze kulia maana hizo treni hata wao awana tunazo nunua wakija bongo lazima waseme wa tz ndiyo watu weusi pekee Africa wenye akili
Send by APOLO 1


Mbn kuchafu hvmajipu yameiva
uchafu ni sehemu ya maisha yao😂😂Mbn kuchafu hv
sauti ya kujipa matumaini😂😂😂😂😂Bullet train za kituko walai, yani hvyo vichwa vya abiria kw hyo render km vya kenya tu..kwanza mataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko tana river kuna flood ya kutisha halafu mnataka international agencies wawaone mnapambana na Covid 19 . Wake up Kenyan. Lockdown itawaua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ina mabalaa kila kona
alaf wako bzy na tanzania 😂😂😂Nchi ina mabalaa kila kona
Hasira mbaya jamaniwachache wanawafanya muishi maisha yakinguruwe


uhehehe soma maelezo au unayaogopa😂😂😂😂😂