Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni magufuli kafanya sasa watanzania tuna uthubutu wa kuwaza hivi kwa mambo ambayo zamani yalionekana impossible kwa Tanzania, sasa magufuli kafanya possible

Ndio maana watanzania tumeshajijengea tabia kwamba kwa sasa kila kitu kinawezekana, viva JPM viva Tanzania

Zile kauli za JPM kwamba Tanzania tunaweza sasa zimezaa matunda kwenye fikra za watanzania.
Nimekuwa nikisema hapa miaka mingi kuwa uwezo tunao ila nimekuwa nikibezwa kuwa ni nadharia tuu.

Unajua majority ya watu wanahitaji ruhusa ya kufanya mambo, ni watu wachache sana wenye uthubutu wakufanya maamuzi yao wao pekeyao. Alichokifanya Rais ni kuwapa watanzania permission ya kutambua kuwa tunaweza. Tunaweza kumwambia Barrick hapana, tunaweza kuwaambia wajerumani, "kama hamtatupa mkopo wa kujenga SGR tutajenga kwa fedha zetu".

Na hii ndiyo sababu hasa ya Magu kuchukiwa na mabeberu, yeye anawafumbua macho waafrika wengine na kadri siku zinavyoenda itaondoa unyonyaji Afrika.

Ila Magu noma aisee, kila kitu anachofanya kinabarikiwa, na anajua kuruka viunzi na mitego mingi. Ona ishu ya Kibiti, makinikia, bwawa la umeme (watu wa mazingira), kununua ndege (Leo imeenda India kubebea wabongo), hivi vyote vilikuwa ni visiki vikubwa sana. Na sasa hii Corona anavyoipangua, hata Maradona haoni ndani.
 
sema unafadhiliwa na serikali kuu! Serikali ya Mkoa wa Geita sidhani kama ina funds kiasi hicho! Uwanja wa watu 80,000 ni kama wa Mkapa Dar! Mie nawashauri wamalizie ule uwanja wa Ndege na pia wajenge Hospitali ya Kisasa kama Mloganzila for medical tourism kama inalipa na proximity to DRC, Rwanda and Burundi itaifanya isikose kujiendesha vizuri ! Au hata technical university! 😀😀😀😀
but hospitali ya tufaa inajengwa bro geita

 
Nimekuwa nikisema hapa miaka mingi kuwa uwezo tunao ila nimekuwa nikibezwa kuwa ni nadharia tuu.

Ila Magu noma aisee, kila kitu anachofanya kina barikiwa, na anajua kuruka viunzi na mitego mingi. Ona ishu ya Kibiti, makinikia, bwawa la umeme (watu wa mazingira), kununua ndege (Leo imeenda India kubebea wabongo), hivi vyote vilikuwa ni visiki vikubwa sana. Na sasa hii Corona anavyoipangua, hata Maradona haoni ndani.
Yaani Kuna time hata sisi wanaotuita fanatic wa JPM kimoyo moyo tunaona kama mzee kayumba kwenye certain issue lakini mwisho wa siku anatu outsmart mpaka aibu

Kitu kikubwa nilichokiona kwa JPM ni special charisma, vision yake sio ya binadamu wa kawaida, na ni mtulivu sana kwenye kufanya maamuzi, hakurupuki wala hafati mkumbo lakini mwisho wa siku anakuwa genius.
 
Kanda yaziwa Viwanja vipo
Nikuviboresha tu Na kuweka Nyasi Nzuri
Hao watu 80 Elfu Geita wapo!
Upande wangu nijambo zuri lakini sio wakati wake

Hiki ni cha Tabora
Screenshot_20200512-122950_1589559771001.jpeg
Screenshot_20200512-123006_1589559742954.jpeg
Screenshot_20200512-123017_1589559702075.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanda yaziwa Viwanja vipo
Nikuviboresha tu Na kuweka Nyasi Nzuri
Hao watu 80 Elfu Geita wapo!
Upande wangu nijambo zuri lakini sio wakati wake

Hiki ni cha Tabora
View attachment 1451456View attachment 1451457View attachment 1451458

Sent using Jamii Forums mobile app
lakini msisahau populationa ina kua na dunia inakwenda na wakati kwa speed ni jambo jenma kila mkoa kuanna uwanja wa kisasa kwa faida ya taifa moja wapo kukuza viwango kwa vijana na kuhamasisha ushindani wa league kuu
 
Kanda yaziwa Viwanja vipo
Nikuviboresha tu Na kuweka Nyasi Nzuri
Hao watu 80 Elfu Geita wapo!
Upande wangu nijambo zuri lakini sio wakati wake

Hiki ni cha Tabora
View attachment 1451456View attachment 1451457View attachment 1451458

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Hii ya Geita ni habari ya kusogeza tu siku nahisi

CCM ndo wamiliki wa viwanja vingi..waweke budget hata 10-15bil Tsh ku rehab CCM Kirumba...
Kuwa na capacity hata 50k from present 35k iwe na seats , vyoo vizuri, vip and tv stands and rain roof cover for specs,.ground systems,restaurants uwe uwanja wa kisasa ..hii itatusaida ku host tournamets kama Afcon
Tukiwa na
1. National Stad Dar 60k
2.New Dodoma Stadium 80k
3.Ccm Kirumba Mwanza 50k
4...Amani Stadium Znz ukiwa rehab ukafika 30k

Tuna host vizuri afcon



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Kuna time hata sisi wanaotuita fanatic wa JPM kimoyo moyo tunaona kama mzee kayumba kwenye certain issue lakini mwisho wa siku anatu outsmart mpaka aibu

Kitu kikubwa nilichokiona kwa JPM ni special charisma, vision yake sio ya binadamu wa kawaida, na ni mtulivu sana kwenye kufanya maamuzi, hakurupuki wala hafati mkumbo lakini mwisho wa siku anakuwa genius.
Kweli kabisa, kuna mambo anafanya kwa akili ya kibinadamu hayasomeki lakini mwisho wa siku, unashangaa matokeo.

Mama yangu aliwahi kuniambia kuna watu walifunga na kuiombea sana nchi hii, ipate kiongozi madhubuti. Hasa baada ya kupatikana kwa gesi. Na kwa jinsi Magu alivyopita pita kimiujiza, mpaka akawa mgombea wa CCM, ni dhahri kuna divine power wala siyo yeye.

Imagine hii issue ya kusema huu ugonjwa tuuzoee kuishi nao kama ilivyokuwa surua, leo hii WHO na Uingereza wanaongea maneno yale yale, nukta kwa nukta. Ni lini hawa jamaa waliwahi kumfuata mwafrika katika maamuzi yao?

Tusubiri tuone, ila mazuri mengi yanakuja... ndiyo maana wakenya hawalali hapa kupiga domo kuhusu Tanzania. Tena wengine unaona kabisa wapo kwenye payroll za kupiga propaganda na ku instigate chaos.
 
Nimekuwa nikisema hapa miaka mingi kuwa uwezo tunao ila nimekuwa nikibezwa kuwa ni nadharia tuu.

Unajua majority ya watu wanahitaji ruhusa ya kufanya mambo, ni watu wachache sana wenye uthubutu wakufanya maamuzi yao wao pekeyao. Alichokifanya Rais ni kuwapa watanzania permission ya kutambua kuwa tunaweza. Tunaweza kumwambia Barrick hapana, tunaweza kuwaambia wajerumani, "kama hamtatupa mkopo wa kujenga SGR tutajenga kwa fedha zetu".

Na hii ndiyo sababu hasa ya Magu kuchukiwa na mabeberu, yeye anawafumbua macho waafrika wengine na kadri siku zinavyoenda itaondoa unyonyaji Afrika.

Ila Magu noma aisee, kila kitu anachofanya kinabarikiwa, na anajua kuruka viunzi na mitego mingi. Ona ishu ya Kibiti, makinikia, bwawa la umeme (watu wa mazingira), kununua ndege (Leo imeenda India kubebea wabongo), hivi vyote vilikuwa ni visiki vikubwa sana. Na sasa hii Corona anavyoipangua, hata Maradona haoni ndani.
Sure mkuu
 
Kweli kabisa, kuna mambo anafanya kwa akili ya kibinadamu hayasomeki lakini mwisho wa siku, unashangaa matokeo.

Mama yangu aliwahi kuniambia kuna watu walifunga na kuiombea sana nchi hii, ipate kiongozi madhubuti. Hasa baada ya kupatikana kwa gesi. Na kwa jinsi Magu alivyopita pita kimiujiza, mpaka akawa mgombea wa CCM, ni dhahri kuna divine power wala siyo yeye.

Imagine hii issue ya kusema huu ugonjwa tuuzoee kuishi nao kama ilivyokuwa surua, leo hii WHO na Uingereza wanaongea maneno yale yale, nukta kwa nukta. Ni lini hawa jamaa waliwahi kumfuata mwafrika katika maamuzi yao?

Tusubiri tuone, ila mazuri mengi yanakuja... ndiyo maana wakenya hawalali hapa kupiga domo kuhusu Tanzania. Tena wengine unaona kabisa wapo kwenye payroll za kupiga propaganda na ku instigate chaos.
Mkuu umemaliza JPM ni heavenly sent.
 
Back
Top Bottom