Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,907
- 103,771
Hawa ndio wakenya wenye akiliBla bla mingi, simply tu Kenya demand ni kubwa sababu they are lazy lame asses, can't work
View attachment 1450621View attachment 1450622
Umesahau Marekani walijitoa kwenye mradi wa umeme wakati huo pamoja na msaada wao tulikuwa na vijiji elfu mbili na uchafu vyenye umeme, sasa kuna vijiji zaidi ya elfu tisa vyenye umeme na 2021 wanataka wamalize vijiji vyote nchi nzima.Nimekuwa nikisema hapa miaka mingi kuwa uwezo tunao ila nimekuwa nikibezwa kuwa ni nadharia tuu.
Unajua majority ya watu wanahitaji ruhusa ya kufanya mambo, ni watu wachache sana wenye uthubutu wakufanya maamuzi yao wao pekeyao. Alichokifanya Rais ni kuwapa watanzania permission ya kutambua kuwa tunaweza. Tunaweza kumwambia Barrick hapana, tunaweza kuwaambia wajerumani, "kama hamtatupa mkopo wa kujenga SGR tutajenga kwa fedha zetu".
Na hii ndiyo sababu hasa ya Magu kuchukiwa na mabeberu, yeye anawafumbua macho waafrika wengine na kadri siku zinavyoenda itaondoa unyonyaji Afrika.
Ila Magu noma aisee, kila kitu anachofanya kinabarikiwa, na anajua kuruka viunzi na mitego mingi. Ona ishu ya Kibiti, makinikia, bwawa la umeme (watu wa mazingira), kununua ndege (Leo imeenda India kubebea wabongo), hivi vyote vilikuwa ni visiki vikubwa sana. Na sasa hii Corona anavyoipangua, hata Maradona haoni ndani.
Ile ya millennium sijui nini.Umesahau Marekani walijitoa kwenye mradi wa umeme wakati huo pamoja na msaada wao tulikuwa na vijiji elfu mbili na uchafu vyenye umeme, sasa kuna vijiji zaidi ya elfu tisa vyenye umeme na 2021 wanataka wamalize vijiji vyote nchi nzima.
Huyu jamaa usikurupuke naye mwanzo kwa sababu ana hulka ya kuibuka na ushindi mwishoni hiki kitu hata wapinzani hawajikielewa wanakuwa wepesi kumuattack mwanzo badala ya kusubiri kwanza.Yaani Kuna time hata sisi wanaotuita fanatic wa JPM kimoyo moyo tunaona kama mzee kayumba kwenye certain issue lakini mwisho wa siku anatu outsmart mpaka aibu
Kitu kikubwa nilichokiona kwa JPM ni special charisma, vision yake sio ya binadamu wa kawaida, na ni mtulivu sana kwenye kufanya maamuzi, hakurupuki wala hafati mkumbo lakini mwisho wa siku anakuwa genius.
Kama wametafuta mfadhili kama mkoa ni heri kwao, tusubiri maelezo zaidi.Kanda yaziwa Viwanja vipo
Nikuviboresha tu Na kuweka Nyasi Nzuri
Hao watu 80 Elfu Geita wapo!
Upande wangu nijambo zuri lakini sio wakati wake
Hiki ni cha Tabora
View attachment 1451456View attachment 1451457View attachment 1451458
Sent using Jamii Forums mobile app
Huohuo.Ile ya millennium sijui nini.
Uchaguzi upi?
Naikumbuka ile misukosuko.Huohuo.
Viwanja vyote vya CCM si rahisi kukarabatiwa, dar viwanja vyake ni vya serikali ndio maana vinakarabatiwa, CCM sidhani kama wana pesa ya kukarabati viwanja na serikali haiwezi tenga pesa kukarabati viwanja vya Chama.Yes Hii ya Geita ni habari ya kusogeza tu siku nahisi
CCM ndo wamiliki wa viwanja vingi..waweke budget hata 10-15bil Tsh ku rehab CCM Kirumba...
Kuwa na capacity hata 50k from present 35k iwe na seats , vyoo vizuri, vip and tv stands and rain roof cover for specs,.ground systems,restaurants uwe uwanja wa kisasa ..hii itatusaida ku host tournamets kama Afcon
Tukiwa na
1. National Stad Dar 60k
2.New Dodoma Stadium 80k
3.Ccm Kirumba Mwanza 50k
4...Amani Stadium Znz ukiwa rehab ukafika 30k
Tuna host vizuri afcon
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua noma Zitto alipondea sana kukosa ule mkwanja akasema jamaa atatugharimu sana uyu. ....lakin amepambana na jeuri yake kwelikwel ilikua ni pesa mbichi $400MUchaguzi upi?
Naikumbuka ile misukosuko.
Usiwaamini sana hao wakina Zitto....Ilikua noma Zitto alipondea sana kukosa ule mkwanja akasema jamaa atatugharimu sana uyu. ....lakin amepambana na jeuri yake kwelikwel ilikua ni pesa mbichi $400M
Huyu jamaa ni Mungu yuko naye, juzi nimesikia Raila analalamika hapokei simu zake, ujue hapo alishapata Taarifa ujinga anaotaka kuongea.Mkuu umemaliza JPM ni heavenly sent.