Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,866
- 103,718
TBT
Ndio na nynyi mjini kati mtabaki kuona majengo ya serekali tuunataka mambo ya kibepari au ??? usikazmishe tufanane haiwezekani ndio maana hushangai ukabila haushi kenya
Kinachoshangaza watu wanaona kila kuchao wa makabila tofautimalizeni ukabila kwanza tuone raha ya ubepari![]()
Umesahau mumejengewa vyoo vya misaadaNa hapa tunawafanyaje? Tunawachamba?
![]()


maana nyinyi hamuishii kuona majengo ya investors😂😂 wanakuja wanashika uchumi munabakia kupika mpaka mawe😃😃
👇👇👇👇👇👇malizeni hzo kwanza
faida ya capitalism ni hii😂😂👇👇 wachache wenye akili na madaraka wanapiga pesa za umma mara mbili mbili alaf majority munabaki kupika mawe👇👇👇 watu wamepiga 8.1b ksh alaf wameomba tena mara ya pili same amount wapige tena
hii ndio raha ya ubepari😂😂😂👇👇 hamuna utu kabisa
labda funds za mkoamhh unafadhiriwa na nan? 80k spectators si Mwakyembe angeusema
Inamaana jamaa ni mbakaji, hapo kwa mwanamke wa kwanza kuna tampon imetolewa, jamaa anasukuma tuu hajali, aisee!
sema unafadhiliwa na serikali kuu! Serikali ya Mkoa wa Geita sidhani kama ina funds kiasi hicho! Uwanja wa watu 80,000 ni kama wa Mkapa Dar! Mie nawashauri wamalizie ule uwanja wa Ndege na pia wajenge Hospitali ya Kisasa kama Mloganzila for medical tourism kama inalipa na proximity to DRC, Rwanda and Burundi itaifanya isikose kujiendesha vizuri ! Au hata technical university! 😀😀😀😀labda funds za mkoa
faida ya capitalism ni hii😂😂👇👇 wachache wenye akili na madaraka wanapiga pesa za umma mara mbili mbili alaf majority munabaki kupika mawe👇👇👇 watu wamepiga 8.1b ksh alaf wameomba tena mara ya pili same amount wapige tena
Ni magufuli kafanya sasa watanzania tuna uthubutu wa kuwaza hivi kwa mambo ambayo zamani yalionekana impossible kwa Tanzania, sasa magufuli kafanya possibleWatanzania huwa tunawaza vitu vikubwa na vya maendeleo mpaka raha Viva Tanzania![]()
Kwani hata hivi vyenu huoni kama wafadhili ni red cross na world vision?