Godwin Gen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 1,309
- 2,277
Inaitwa locusts train 😂 😂
[/QUOTE]
Wewe hesabu za algebra zilikua zinakupiga sana chenga.
King cobra ametanguliza ulimi kabisa asipotee njia:
Inaitwa locusts train 😂 😂
[/QUOTE]
Nadhani unaona tofauti ni rangi,wewe tulia baadae utaisoma number 😂😂
Sisi ndo baba lao lazima tuwaleetunapeleka maji hadi mpakani mwao
Hizi nyumba za upande wa Ubungo Maji natamani mtu aje anunue ili eneo na kujenga towers ama mall maana zimekaa hovyo!
Kila nikipita pale af na imagine flyover ikikamilika patatoa show mbaya....Hizi nyumba za Ubungo Maji natamani mtu aje anunue ili eneo na kujenga towers ama mall maana zimekaa hovyo!
zimekosa mpangilioHizi nyumba za Ubungo Maji natamani mtu aje anunue ili eneo na kujenga towers ama mall maana zimekaa hovyo!
Ukiangalia vizuri ni wavamizi wa road reserve maana taasisi za serikali kama Ubungo wizara ya maji huacha nafasi kubwa kati ya barabara na ukuta!zimekosa mpangilio
Yaani sehemu ya hivyo vioo vya mtungi wa chang'aa,ni kama ilitengenezwa na mafundi gereji.Hivi huoni hata aibu, ona tuu engine ya hiyo yenyu, imechukua 3/4 ya locomotive wakati hiyo ya Bombardier sehemu kubwa ni vioo, heat loss is negligible. Huwezi linganisha ufanisi wa electric locomotives (high quality energy source) na diesel locomotives (low quality energy source).