Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi nyumba za upande wa Ubungo Maji natamani mtu aje anunue ili eneo na kujenga towers ama mall maana zimekaa hovyo!

EYD4MMwWoAY36a3
Hahaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee mahesabu mazito hayo si rahisi hivyo miradi ya Mchina hiyo! nadhani to be more practical $150 mln inaweza kutupatia wagon ferries zisizopungua 7! Na uzuri wa wagon ferries hazi-limit destination to a particular shore kama daraja! Unaweza kutokea Kigoma ama Kasanga port ama sehemu yeyote yenye bandari Lake Tanganyika na kufikisha mzigo kwa urahisi bandari yeyote DRC Kalemi, Bujumbura port au hata Mpulungu port huko Zambia! Kumbuka wagon ferries zinaweza kubeba malori pia!
Watanzania huwa tunawaza vitu vikubwa na vya maendeleo mpaka raha Viva Tanzania
 
Hakuna linaloshindikana broo ni kujipanga tu na ku think big, Afrika tumeshathibitisha kuwa tunaweza, km wao wanaweza japo %kubwa ya mali wanazitoa huku itakuwaje cc wenye mali
Kila kitu kinawezekana ni suala la kuthubutu japo itatuchukua muda mrefu kutokana na uchumi wetu. SGR ikifika Kigoma tunaweza kutengeneza meli kubwa ya mizigo ambayo itakuwa inabeba container za kutosha kama njia ya mpito wakati tukijipanga kwa kushirikiana na DRC kujenga daraja kama itaonekana ni economically feasible huko baadae. DRC ni market kubwa sana kwenye sekta ya usafirishaji wa mizigo kwa nchi yetu kuliko hivi vinchi vidogo tunavyoviongelea sana.
 
Back
Top Bottom