tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Kama ndio tunaletewa izo basi wakaushe tu hatuko league moja naomwambie atuonyeshe mtungi wao wa chang'aa ukitumiwa nchi za Ulaya kama treni ya Bombardier!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ndio tunaletewa izo basi wakaushe tu hatuko league moja naomwambie atuonyeshe mtungi wao wa chang'aa ukitumiwa nchi za Ulaya kama treni ya Bombardier!
Umechanganyikiwa wewe sio bure...yaani bombadier talent 3 unataka kufananisha na mtungi wa chang'aa unaofuka moshi!
Germany wanabadilisha na kuweka hizi kwa sasa kwenye mtandao wao, nchi nyingi zimeplace order. Kwa Africa nafikiri tunaweza kuwa wa kwanzaUmechanganyikiwa wewe sio bure...yaani bombadier talent 3 unataka kufananisha na mtungi wa chang'aa unaofuka moshi!
Hivi tuna mpango wa kununua ngapi EMU's 6 au...Germany wanabadilisha na kuweka hizi kwa sasa kwenye mtandao wao, nchi nyingi zimeplace order. Kwa Africa nafikiri tunaweza kuwa wa kwanza
Barabara nyekundu kama machinjio ya Vingunguti
Nafikiri JPM kaliona si ajabu bajeti ijayo zikatengwa pesa nyingi kwa meli za mizigo ziwa Tanganyika.Ila JPM inabidi kutafuta njia mbadala, hivi vinchi landlocked huwa vina wivu sana si Zambia hata Rwanda! Aaangalie uwezekano wa kuwa na wagon ferries nne hivi Lake Tanganyika kwa ajili ya kuhudumia the big apple DRC! Kwanza njia ni fupi!
hahah ndo maana yake sasa hapo wana njaa na still wanapata coronvirus! Si bora wangepata wakiwa wameshiba? Maombi ya chaukula yashaanza huko Kenya!Ukitumia akili hawa watu wamerundikana hivi tayari ni risk, si bora waende kazini kuzalisha na mrundikano sio wa hivi
hahah ndo maana yake sasa hapo wana njaa na still wanapata coronvirus! Si bora wangepata wakiwa wameshiba? Maombi yashaanza huko!
Bla bla mingi, simply tu Kenya demand ni kubwa sababu they are lazy lame asses, can't work
View attachment 1450621View attachment 1450622
We kweli mpuuzi, ss precision air imefata nn kwny hayo maelezo