Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We angalia tu hivyo video dakika ya 2:30 hata huyo mtangazaji anaonyesha kukata tamaa na hicho kichwa cha mbogo! 😀 😀
Hehe umesahau hii so passenger train,najua huwezi ileta kwasababu is cute than that locusts train
 
The photos are not of poor quality, this city itself is full of uswazi behind the blues towers,that's why 😂 😂 😂 😂
DD02C8CF-24BC-4852-A8C0-473D18B8E072.jpeg
 
Hapo mambo ni mawili

1. Vipimo vyao ni feki
2. Wana ajenda ya siri dhidi ya Tz

Hilo la kwanza siamini cz km ni feki kwnn vitoe majibu ya positive kwa madereva wa Tz tu, yn wakipima madereva 27 basi hapo vipimo vitasema 24 ni WaTz, 1 Uganda, 1 Kenya, 1 Rwanda.

Hilo la pili ndvyo nnavyodhani mm, kwmb Wakenya wanafanya hila dhidi ya Tz cz wanaumia kuona cc uchumi unaenda tu japo kipindi hiki cha Corona na ilihali hatufanyi km wao walivyoamua kuwaiga mabeberu, so ni wivu, chuki na fitina tu ndo zinawasumbua.
Wanatumiwa na mabwana zao ili tukubali majaribio ya chanjo
 
Vyombo vya habari vya Kenya ndo vinasambaza hila hizo, hata kuhusu habari ya kufungwa kwa mpk wa Tz na Zambia Wakenya wameshadadia kwa herufi kubwa kabisa ili ionekane ni kweli Tz inasambaza corona, lkn Kabudi ametolea ufafanuzi kuhusu hilo la Zambia anasema mpk umefungwa kwa siku 5 ili maafisa wa Zambia wachukue takwimu zao pale mpakani na baada ya hapo kila kitu kitakuwa sawa, ss hawa wapuuzi wanaleta siasa ktk kila jambo, unajua wakenya tangu waone tunaanza kurudisha nafasi yetu hapa EA inawauma sn
Jana niliwasikiliza mawaziri wa Zambia, wanasema pia wanatumia muda huo kuwafanyia training watu wao.
 
Back
Top Bottom